Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatujawah mkataa dube, na hatuta mkataa mchezaji yeyoteMtawakataa wote msimu huu, mlianza na Dube now Aziz...tuendelee
tabora anachelewesha tu kipigoSupu Fc wanaweza kurejesha na kushinda pia, dk 90 zipo kwa wote
DuhLolote baya liwapate Utopolo FC. Mmezidi 'kujimwambafy'
mie nikajua ya kupoteza muda kibwegeHii kadi kadi ya njano Kwa Tabora ni ya uonevu.
ugumu uko wapi ikiwa yanga yuko golini kwa tabora muda woteNamuona injinia anavyoandaa bahasha za half time, ngoma ishakuwa ngumu hii
Aliyeuacha Mpira siyo aliyepewa kadi. Umeelewa Sasa?mie nikajua ya kupoteza muda kibwege
ama unataka waongeze dk 20 ulalamike hawa wanafaa kuonywa mapema sana kupoteza muda
Nguvu hakuna mpaka wapigwe boosta kama broilerYanga mnaona shida gani kupiga kuanzia mbali?
Mechi ngumu hii mkuuugumu uko wapi ikiwa yanga yuko golini kwa tabora muda wote
Hesabu za mbali hizo, yanaandaliwa mazingira ya kadi ya mtu kupunguzwa, utaona second halfHiii kadi ya njano Kwa Tabora ni ya uonevu.
basi refa kafanya ubaya ubwelaAliyeuacha Mpira siyo aliyepewa kadi. Umeelewa Sasa?