Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasongoooooo !! 😆🤣Mbonawewoo
Vipi mmefungwaje??Nikiwa msimbazi hapa 😹
Kumekucha. Mbona mapema sana mkuu?! Tulieni dawa iwaingie.Hapa kilichobakia kwa uongozi wa Yanga ni kumtimua tu kocha na benchi lake la ufundi. No way out.
Maana timu inahitaji falsafa mpya, inahitaji morali, na pia nidhamu. Kinyume na hapo, haya matokeo yataendelea kujirudia. Dalili zilianza mapema tu kuonekana.
Sio gundu uwezo wenu mdogo sanaKUNA GUNDU LIMENUNULIWA KUTOKA SIMBA NA SASA LINAISUMBUA YANGA.
Mimi sina shida. Navumilia vizuri tu. Ila tukija kwenye timu; no way out! Kocha na benchi lake la ufundi, wanatakiwa kutolewa sadaka ili maisha nayo kwenye timu yaendelee.Vumilia mzee
Wacha watibuaneVumilia mzee
mtoto kautaa.Huyo mtotooooooooooooo
Masela huyo mtotooooooo
Gamondi tena....?Hapa kilichobakia kwa uongozi wa Yanga ni kumtimua tu kocha na benchi lake la ufundi. No way out.
Maana timu inahitaji falsafa mpya, inahitaji morali, na pia nidhamu. Kinyume na hapo, haya matokeo yataendelea kujirudia. Dalili zilianza mapema tu kuonekana.
Naanza usiku huu. 😀😀😀Kesho asubuhi tunaanza na Master Tindwa pale Clouds fm, tunahamia kwa Crown Fm kwa Jemedari Said Mwana wa Kazumari kisha tunamalizia na Efm kwa Mzee wa Jambia
Mpaka mthemeHapa kilichobakia kwa uongozi wa Yanga ni kumtimua tu kocha na benchi lake la ufundi. No way out.
Maana timu inahitaji falsafa mpya, inahitaji morali, na pia nidhamu. Kinyume na hapo, haya matokeo yataendelea kujirudia. Dalili zilianza mapema tu kuonekana.
Mkuu mbona soka mmepiga? Ilikuwa zamu yenu tu leo kuchapikaMimi sina shida. Navumilia vizuri tu. Ila tukija kwenye timu; no way out! Kocha na benchi lake la ufundi, wanatakiwa kutolewa sadaka ili maisha nayo kwenye timu yaendelee.
By the way, ni jukumu la viongozi kuamua cha kufanya. Ila kiukweli timu inahitaji mabadiliko ya benchi la ufundi.
Mara hii!?Hapa kilichobakia kwa uongozi wa Yanga ni kumtimua tu kocha na benchi lake la ufundi. No way out.
Maana timu inahitaji falsafa mpya, inahitaji morali, na pia nidhamu. Kinyume na hapo, haya matokeo yataendelea kujirudia. Dalili zilianza mapema tu kuonekana.