Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Lakini sio huu Utopolo wa msimu huu, hauna matunda.Mti wenye matunda ndiyo hushambuliwa na mawe.
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana Angel Nylon OKW BOBAN SUNZU Scars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini sio huu Utopolo wa msimu huu, hauna matunda.Mti wenye matunda ndiyo hushambuliwa na mawe.
Nimewacha siku nyingi kuwanganaa kondoo.Tukisema shule muhimu muwe mnaenda shule mnaona kama tunawanyanyapaa au hatuwapendi. Hizi imani za kishetani kabisa. Ni aibu. Hata ulichoandika we mwenyewe sijui kama unaweza ukakikosa ukakielewa. Mnaabudu ushirikina sana. Na naona Mikia nao ni shida. Imani yako na team yako vyote ni vya kupelekwa Jehanamu.
Ila wamenyooshwa mama kubwa usijaliHuu Mpira ungeisha Kwa wakati wasingeambulia hata goli. Wamebeba wee imeshindikana🤓
Namtafuta ShadeeyaLakini sio huu Utopolo wa msimu huu, hauna matunda.
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana Angel Nylon OKW BOBAN SUNZU Scars
Mpe baby vitatu 🐸Mti wenye matunda ndiyo hushambuliwa na mawe.
Ndio wamesababisha tukapigwq goli 3 baada ya kutoruhusu mabomba ya sindano room kwetu.Wale wajinga walisema sisi tunajidunga sindano za kuongeza nguvu. Mikia hao ndo wameleta hizo taarifa kwa sababu ya yale mabomba waliyo yaona kule room kwetu. Sasa leo tumecheza bila hayo mabomba wafurahi wao mbwa hao
[emoji23][emoji23][emoji23] maskini hadi nakuonea huruma wee baba, poleeeee.Kila la heri kwa Wananchi Young Africans. [emoji169][emoji172][emoji123] Ushindi kwenu ni muhimu sana, huku mkitambua fika kila timu ya ligi kuu kwa sasa inawaza kuwakamia tu ili msiwe mabingwa kwa miaka 10 mfululizo.
Nakutakia Usiku mwema 😍😍Yanga hii unaifungajeee 😹
Wee komweeeee upooo? Nyokoooo wee.Leo kuna magoli mengi nashauri tabora wagome kuingiza timu waepuke aibu!
Ndumba zinapiga kazi au hazipigi?Kuna sehemu nimeitaja stars? Mafanikio ya Simba na Yanga kimataifa hujui kama yameletwa kwa mchango mkubwa wa wachezaji wa nje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmemuona Azizi Ki saizi yupo ndani na hakuna kitu anafanya.
Then akitoka nje anageuka kuwa kocha msaidizi kuanza kuwa lecture wenzake.
Anaona ni rahisi kuwaambia wenzake cha kufanya wakati yeye akiwa humo ndani anashindwa kutekeleza
Hili nalo nenoHawa vyura waliwafungaje simba?!
Poleee Dear, ndo mpira ulivyo, vumilia utapona.Nyie nyie naota? Mweeh
Hata mti wenye nyoka nao hushambuliwa kwa maweLakini sio huu Utopolo wa msimu huu, hauna matunda.
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana Angel Nylon OKW BOBAN SUNZU Scars
Mpe baby vitatu 🐸