Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Leo hii slogan haina nafasi jirani.Ubaya ubwelaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo hii slogan haina nafasi jirani.Ubaya ubwelaaaa
We kweli ni Malaika wa MisukosukoKunguru wa Lubumbashi anakwenda kushusha kilio Tanzania
Tp mazembe 2 - 1 Yanga
Haya nikifika nitakwambiaNitafute Mzab na mie naja. Teh teh.
Eeewaaaa.Haya nikifika nitakwambia
Ni gusa achia twende kwao🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 TotalEnergiesCAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚TP Mazembe
📆 04.01.2025
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 4PM (EAT)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 3191850
Mbumbumbu katika ubora wake wa ki NGADALeo 4/1/2025 ndio siku rasmi ya nyuma mwiko kuyaaga mashindano na tp englabaa mazembe atawachimbia yanga kaburi na kuwazika wazima wazima.
Naomba tuwaimbie mapambio yanga;
Parapandaa, italia parapandaa
Parapandaa, italiaa parapandaa
Watakuwa wamekwisha kumlaki bwana yesu mawinguni
Parapandaa, italia parapanda
Parapandaa, italia parapanda
Tp mazembe 2 Wachawi fc 0.
"KAFA PAKA, KAZIKWA NYAU"
"A man called Gonamwitu"
Yanga akishinda hii mechi basi atashinda mechi zote zilizoko mbele yake zikiwemo za ligi ya almas kasongo na Karim boimanda
Huu ndio ukweli hii mechi ni turufuNaunga mkono hoja...yani Yanga ikishinda leo basi mechi zake zote zilizobaki watashinda haijalishi za ligi au za Champion League
Kesho ila nguvu zao wameelekeza kwa mechi ya Leo !Kwani Lunyasi wanacheza lini mana ni kama hawapo duniani
Wako serious na Yanga kuliko Yanga yenyeweKesho ila nguvu zao wameelekeza kwa mechi ya Leo !
Amin 🙏Mungu Ibariki Mazembe