Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Ubaya ubwela 😂Dooh. Vibaya hivyo pacha.
I miss u jamani hivi upo?
Nimekumiss pia twinnie,huyo alokufungia mwambie haya ni maisha tu na sisi ni pipoo 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya ubwela 😂Dooh. Vibaya hivyo pacha.
I miss u jamani hivi upo?
Ukiona Yanga yupo mkiani kwenye msimamo wa CAFCL jua kakosa wa kumhonga.Yanga ndiyo nembo ya mpira wa Tanzania
3-10-0
1-1
2-2
3-3
Acha ufala wewe tangu lini club ya taifa ikawa vyura fc litimu lisilo hata na uwezo wa kujisimamia 😂Kila la kheri club ya taifa.
Mbona mapema sana unalipwa!??😹😹😹🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 TotalEnergiesCAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚TP Mazembe
📆 04.01.2025
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 4PM (EAT)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 3191850
Hahahaaa. Lol.Ubaya ubwela 😂
Nimekumiss pia twinnie,huyo alokufungia mwambie haya ni maisha tu na sisi ni pipoo 🤣
Gusa day 😂Yanga kichapo ni palepale
Leo tena mnafungwa bila shuruti nyie mbweha kasoro mikia. Kesho mnyama anaonesha ubwela wake kwa waarabu kama kawaida. Mnyama oyeeeeeeeeeeeee!🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 TotalEnergiesCAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚TP Mazembe
📆 04.01.2025
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 4PM (EAT)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 3191850
Nipo neshno hapa nakula ubwabwa wa mama ntilie kabla sijazama ndani kupata burudaniEeewaaaa.
Wanawafunga Yanga Trust meMazembe sio wazuri kiasi hicho....... usishangae wakipigwa
Ushindi wa Tp englaba MazembeHii mechi ni ngumu sana kwa Yanga
Ila ushindi upo