mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Kumbuka Kibabage ni mtanzania mwenzako.Kikosi cha kufosi ..
Jamaa namkubali kwa hii 4-4-2 yake
Ashukuriwe maulana kibabage hayupo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka Kibabage ni mtanzania mwenzako.Kikosi cha kufosi ..
Jamaa namkubali kwa hii 4-4-2 yake
Ashukuriwe maulana kibabage hayupo!
Inaweza kuwa ngumu ama isiwe ngumu!Pamoja na hayo mechi ya leo ni ngumu kwa Yanga.
Mimi ni 🦁
Sijakataa ila anachoma sana na ndio mana hajapangwaKumbuka Kibabage ni mtanzania mwenzako.
Kwa sababu ya zile mechi za mchongo kaka? Utopolo anakufa leo .Gongowazi anashinda hii mechi
Mazembe ni wabovu zaidi, nitashangaa ikiwa mechi itaisha tofauti na nilivyoandika.
Hili jina ulilowaita wananchi sijalipenda.Gongowazi anashinda hii mechi
Mazembe ni wabovu zaidi, nitashangaa ikiwa mechi itaisha tofauti na nilivyoandika.
Hili mbona ni tokeo moja..!!Mechi ya Leo inamatokeo matatu YANGA ashinde, Tp mazembe afungwe au vyote kwa pamoja
Taratibu mkuu, hakuna haja ya makasiriko, juu ya mtizamo binafsi wa mtu.Acha ufala wewe tangu lini club ya taifa ikawa vyura fc litimu lisilo hata na uwezo wa kujisimamia
Mkuu Mazembe yupo vibaya sana kwenye huu msimu kutokana na vikwazo vya kutosajili.Kwa sababu ya zile mechi za mchongo kaka? Utopolo anakufa leo .
Alafu mechi ina goal nyingi sana hii