Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

Kweli kabisa kaka ake na huwa naamini hivyo mi pia.

Nzuri kabisa kaka namshukuru m'mungu nimeamka salama nalijenga Taifa. Sijui kwako bro jumatatu inasemaje?
 
Utajiri unazidiana. Ili Bakhresa ampate Dangote basi ajichangechange mara kumi ya sasa
Siyo mara kumi ni zaidi ya mara 30.
Bakhresa siyo bilionea in usd according to forbes, wakati dangote ni bilionia wa more than 27 bils usd.
 
Penye magari kama haya kunakuwa na barabara zinazofanana nayo, sasa sijui anayaendeshea wapi kwa bongo yetu!
 
Namshukuru MUNGU kwa Kidogo hiki, ambacho hata bodaboda kitendawili
Lakini maisha yangu yanaenda, utadhan sio tz
 
Aisee..wacha nisubiri ugali dagaa hapa chini ya mgomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…