Fumanizi la mama mwenye nyumba

Hapo kwenye mpangaji kukaa sehemu mpaka akaanza kufuga nimecheka sana. Kuna jamaa yangu hapo mwanza kapanga mahali kafuga mbuzi kama 60 nilivyoenda kwake nilicheka sana anajiita mwenye nyumba msaidizi since wapangaji wote wamemkuta.
Unakaa kwenye nyumba muda mrefu hadi mwenye nyumba anakupa kazi ya kumkusanyia kodi
 
Duuh!!! Umenifanya niogope kualika demu magetoni aisee, kama akifa si balaa[emoji28][emoji28]

Ni mwendo wa Lodge tu akizima naondoka akiamka atajua mwenyewe [emoji28]
Wakitaka kukupata wanakupata tu. Maana hata hiyo lodge lazima muende kwa mawasiliano
 
Aiseee msala haujapoa unaanza msala mwingine hapo ndipo unajua shetani akifungua dozi kabla haijaisha anapandisha nyingine tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…