Fumbo linaloumiza walimwengu ni maisha baada ya kifo

Fumbo linaloumiza walimwengu ni maisha baada ya kifo

maisha ya mwanadamu yameelezwa vyema kabisa kabla hajaja ulimwenguni baada ya kuja , kifo na baada ya kifo mambo yote yameelezwa kwa ufasaha na uwazi kabisa..

(۞ قُلۡ یَتَوَفَّىٰكُم مَّلَكُ ٱلۡمَوۡتِ ٱلَّذِی وُكِّلَ بِكُمۡ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّكُمۡ تُرۡجَعُونَ)
Surah As-Sajdah 11

waambie: atakufisheni malaika wa mauti aliye wakilishwa juu yenu; kisha mtarejeshwa kwa mola wenu..
Tumia ubongo wako kufikiri usifungwe na hekaya za kigeni, ambazo hata afrika zilikuwepo kwenye makabila yao, lakini hao mabwana wslipokuja walifuta za kwetu wakalazimisha tufuate za kwao, na sasa watu wamekuwa addicted nazo kabisaa kama ndio asili yao.

Hayo maandishi jamii za asia walipewa namna ya kuandika kuanzia wachina, waarabu, wahindi, wahibrania, wayahudi na walipewa lugha chache.

Sisi waafrika tulipewa lugha nyiingi lakini tukanyimwa maandishi.
 
Tumia ubongo wako kufikiri usifungwe na hekaya za kigeni, ambazo hata afrika zilikuwepo kwenye makabila yao, lakini hao mabwana wslipokuja walifuta za kwetu wakalazimisha tufuate za kwao, na sasa watu wamekuwa addicted nazo kabisaa kama ndio asili yao.

Hayo maandishi jamii za asia walipewa namna ya kuandika kuanzia wachina, waarabu, wahindi, wahibrania, wayahudi na walipewa lugha chache.

Sisi waafrika tulipewa lugha nyiingi lakini tukanyimwa maandishi.
Huna hoja zaidi ya dhana na matamanio ya nafsi yako tu!!! Ni mtu mpumbavu tu anaeweza kukataa kuwa kuna maisha baada ya kifo. Nafsi yako ikishakufa haiwezi kuishi katika nafsi ya mtu mwingine
 
Tumia ubongo wako kufikiri usifungwe na hekaya za kigeni, ambazo hata afrika zilikuwepo kwenye makabila yao, lakini hao mabwana wslipokuja walifuta za kwetu wakalazimisha tufuate za kwao, na sasa watu wamekuwa addicted nazo kabisaa kama ndio asili yao.

Hayo maandishi jamii za asia walipewa namna ya kuandika kuanzia wachina, waarabu, wahindi, wahibrania, wayahudi na walipewa lugha chache.

Sisi waafrika tulipewa lugha nyiingi lakini tukanyimwa maandishi.
(إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَیۡهِ ءَایَـٰتُنَا قَالَ أَسَـٰطِیرُ ٱلۡأَوَّلِینَ)
[Surah Al-Mutaffifin 13]
anaposomewa aya zetu husema: ni visa vya watu wa kale!..
 
(إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَیۡهِ ءَایَـٰتُنَا قَالَ أَسَـٰطِیرُ ٱلۡأَوَّلِینَ)
[Surah Al-Mutaffifin 13]
anaposomewa aya zetu husema: ni visa vya watu wa kale!..
Waliokufuru hawana hoja mpya zaidi ya kurudia yaleyale waliyoyasema na kuyazua baba zao juu ya aya za Mwenyezi Mungu. Fatilia sana hoja zao na bahati nzuri Quran ilishawabainisha 1400 years ago
 
Waliokufuru hawana hoja mpya zaidi ya kurudia yaleyale waliyoyasema na kuyazua baba zao juu ya aya za Mwenyezi Mungu. Fatilia sana hoja zao na bahati nzuri Quran ilishawabainisha 1400 years ago
Kukufuru ndio nini???
Zaidi ya vitisho dini ilivyofanikiwa kuwa wekea waumini wake hamna lolote.
 
Waliokufuru hawana hoja mpya zaidi ya kurudia yaleyale waliyoyasema na kuyazua baba zao juu ya aya za Mwenyezi Mungu. Fatilia sana hoja zao na bahati nzuri Quran ilishawabainisha 1400 years ago
kweli kabisa mkuu majibu yote yameshawekwa kwaajili yao karne 14 zilizopita ni mwendo wa kuwachomolea tu na kuleta..
 
Kwa mwanaume kama mkeo hakurogi tambua hauna maajabu, hakuna anaweza kuhangaika na wewe ukiwa useless [emoji3][emoji3][emoji3]

Na kama mkeo anakuroga it means anapambania ndoa yake mzidi kudumu na kumjali which is your responsibilities kumhudumia kwa hiyo acha uoga mkuu mpende mkeo,
 
Naomba tujadiliane kuhusu hili andiko vizuri...wakristo wengi huwa mnasoma biblia ila huwa hamuielewi

Naomba tuanzie andiko lako ulilonukuu kipande ,toka linapoanzia Yohana 14:1

Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Katika nyumba ya baba yangu mna nafasi nyingi. Kama sivyo, nisingeliwaambia kwamba nakwenda kuwaandalia makao. 3 Na nikishawaandalia, nitarudi kuwachukua mkae pamoja nami; ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo. 4 Ninyi mnajua njia ya kufikia ninakokwenda.” 5 Tomaso akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda; tutaijuaje njia?” 6 Yesu akawaam bia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.


Mtume Yesu anaongea na wana wa israel akiwaambia kuwa wamwamini kwanza MUNGU kisha wamwamini ya yeye (Mtume).Maana hakuna atakaefanikiwa kufika kwa Mungu ikiwa hatamwamini Mtume wa Mungu ambae ni (Yesu) kwa wakati huo. Haya ni mafundisho sahihi kabisa kuwa kila watu waliletewa mtume/nabii wao...ila lengo lilikuwa ni lile lile kuwa wamwamini Mungu mmoja tu na kisha wamwamini mtume/nabii wao. Pia sheria ya kila Mtume/Nabii huwa zinatofautiana.Kila Nabii au Mtume na zama zake na watu wake. Watakaomtii nabii au Mtume wao waliyeletewa kwa wakati huo na kumuamini Mungu basi bila shaka watapata nafasi ya kwenda katika ufalme wa milele. Napia Yesu akawaambia kuwa Mbinguni katika Nyumba ya baba yaani (MUNGU) kuna nafasi nyingi ( kwa kila watu na Mtume wao).Na akwaambia kuwa watakaomuamini MUNGU pamoja na yeye (mtume wa MUNGU) basi ataenda kuwaandalia Makao (Miongoni mwa nafasi nyingi zilizopo huko kwa MUNGU) . So kizazi cha wana wa israel waliomuamini Yesu wana nafasi yao kwa MUNGU , na wale waliomuamini Musa pia wana nafasi yao, waliomuamini Daudi pia wana nafasi yao, waliomuamini Eliya nao wana nafasi yao, waliomuamini Yona na Ayubu nao wana nafasi zao. Kila Mtume/Nabii na watu wake waliomuamini wana nafasi kwa MUNGU.

Hiyo ndio maana ya kuwa katika nyumba ya Baba (MUNGU) kuna nafasi Nyingi...na yesu ameenda kuwaandalia watu wake waliomuamini nafasi miongoni mwa nafasi nyingi zilizopo huko kwa Mungu...huwezi kumuamini MUNGU ikiwa kama hujamuamini Mtume/Nabii wa Mungu wa wakati wako.

Ni nabii au mtume gani wakati wowote alishawahi kutoa hakikisho kama alilolitoa Yesu? Kwanza Yesu anatoa hakikisho kabisa kwamba anaenda kuandaa makao na kisha atarudi kuwachukua walio wake. Hakuna nabii wala mtume aliyewahi kutoa hakikisho kama hilo na kama yupo tupe andiko. Njia ni moja tuu, amini yesu ni mwana wa Mungu, ubatizwe, utaokoka. BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
 
Kamsikilize Dr Remy ongala hutaogopa kifo ,kifo kumanyoooko hutoi taarifa nijiandae
 
m
Ni nabii au mtume gani wakati wowote alishawahi kutoa hakikisho kama alilolitoa Yesu? Kwanza Yesu anatoa hakikisho kabisa kwamba anaenda kuandaa makao na kisha atarudi kuwachukua walio wake. Hakuna nabii wala mtume aliyewahi kutoa hakikisho kama hilo na kama yupo tupe andiko. Njia ni moja tuu, amini yesu ni mwana wa Mungu, ubatizwe, utaokoka. BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
katika uislamu mafunzo mama yenye kutegemewa ni kuwa iysa mwana wa mariam atakuja kurudi wakati wa mwisho wa dunia na si aibu!..
 
Ukweli ni kwamba kabla ya kuja ulimwenguni tulikuepo.huko tulikokua,badae tukaja tumboni kwa mama na badae duniani. Sema tu hatumbuki na Hilo naona Allah ndio mjuzi Zaidi kwanini tulipoteza kumbukumbu .hivi ww fikiria tumboni ulikua unacheza unakula na kadhalika ila wakuulize utupe angalau tukio moja huwezi .swali myongoni mwetu nani anakumbuka alivyokua ananyonya alivokua mdogo.huwezi ila waliokuona ndio wanajua ulivokua ukijinyea na kujikojolea.
 
Back
Top Bottom