Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida anatafuna havuti!Bangi sio nzuri ndugu zanguni
inaeleka unavuta GOSO!!!
usiionee sativa chiefBangi sio nzuri ndugu zanguni
Huyu Jamaa tuko Sahihi.
Sasa bahari hizo zitaje au anaongelea kitu kingine?Ila si kasema ukweli ndugu zangu
Tatizo yeye hajazitaja any way kumbe unaangalia source ok👍👍Huyu Jamaa tuko Sahihi.
Tributeries za
✅Mto Congo inayomwaga maji Atlantic Ocean zinatoka Ziwa Tanganyika
✅Mto Nile chanzo chake ni Ziwa Victoria na unamwaga maji Mediteranian Sea.
✅Mto Rufiji na Bwawa la Magu nazo zinamwaga maji Indian Ocean.
mto Kongo na ziwa Tanganyika mbona sioni uhusianoHuyu Jamaa tuko Sahihi.
Tributeries za
[emoji736]Mto Congo inayomwaga maji Atlantic Ocean zinatoka Ziwa Tanganyika
[emoji736]Mto Nile chanzo chake ni Ziwa Victoria na unamwaga maji Mediteranian Sea.
[emoji736]Mto Rufiji na Bwawa la Magu nazo zinamwaga maji Indian Ocean.
Si kaweka pichaSasa bahari hizo zitaje au anaongelea kitu kingine?
Halafu ni maskini
sasa kumwaga maji bahari ya Mediterranian unataka kutusaidieje kiuchumi?Halafu ni maskini
HaHahasasa kumwaga maji bahari ya Mediterranian unataka kutusaidieje kiuchumi?
Watz wanaamini kila kitu ni pesa zinaingiasasa kumwaga maji bahari ya Mediterranian unataka kutusaidieje kiuchumi?
Sawa angeweka na majina kuweka nyama nyama kidogo kujaziaSi kaweka picha