ideathinker
JF-Expert Member
- Jul 29, 2024
- 262
- 386
Hapo sasambona kama ni mbili tu ya tatu iko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasambona kama ni mbili tu ya tatu iko wapi
Mbona Mimi navuta bangi na nipo fresh tena timamuBangi sio nzuri ndugu zanguni
Labda angalia kwenye hii ramanimto Kongo na ziwa Tanganyika mbona sioni uhusiano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bangi sio nzuri ndugu zanguni
Chanzo cha mto Nile ni Ziwa Victoria upande Uganda sio Tanzania.Huyu Jamaa tuko Sahihi.
Tributeries za
✅Mto Congo inayomwaga maji Atlantic Ocean zinatoka Ziwa Tanganyika
✅Mto Nile chanzo chake ni Ziwa Victoria na unamwaga maji Mediteranian Sea.
✅Mto Rufiji na Bwawa la Magu nazo zinamwaga maji Indian Ocean.
So mtoa mada katupiga parefu sana😂😂Chanzo cha mto Nile ni Ziwa Victoria upande Uganda sio Tanzania.
Ni kutafuta tu namna ya kuyazuia hayo maji kwenda huko na tufungue viwanda vya maji tuwauzie kwenye vidumu,ndoo na mapipa.ubaya ubwelasasa kumwaga maji bahari ya Mediterranian unataka kutusaidieje kiuchumi?
😳🤣😱Ni kutafuta tu namna ya kuyazuia hayo maji kwenda huko na tufungue viwanda vya maji tuwauzie kwenye vidumu,ndoo na mapipa.ubaya ubwela
Utasema na mto Kongo chanzo ni Congo sio TzChanzo cha mto Nile ni Ziwa Victoria upande Uganda sio Tanzania.
Nimekuja mbio kushuhudia umwagaji maji
hivi, hatuwezi kugeuza maji yanayomwagwa baharini yarudishwe ardhini kufanyike kitu kingine?
Ni kuyazuia kwa mabwawa na kuyasambaza kuyatumia kabla hayajaingia baharini. Yakiingia baharini yanaharibika na chumvi.hivi, hatuwezi kugeuza maji yanayomwagwa baharini yarudishwe ardhini kufanyike kitu kingine?
Inawezekana pia anaichomeka kwenye chemba ili ikolee haraka.shida anatafuna havuti!
Fun factTunafaidika kwa namna gani kuwa na mito inayomwga maji kwenye bahara tatu.
Hapo unataka kusema nini?Utasema na mto Kongo chanzo ni Congo sio Tz
Sana tuSo mtoa mada katupiga parefu sana😂😂
Tatizo kuna wengi waliende shule kula uji na maharage ndo maana ata geografia ya Afrika hawaijui kabisaHuyu Jamaa tuko Sahihi.
Tributeries za
✅Mto Congo inayomwaga maji Atlantic Ocean zinatoka Ziwa Tanganyika
✅Mto Nile chanzo chake ni Ziwa Victoria na unamwaga maji Mediteranian Sea.
✅Mto Rufiji na Bwawa la Magu nazo zinamwaga maji Indian Ocean.
Na chanzo ya ziwa VictoriaChanzo cha mto Nile ni Ziwa Victoria upande Uganda sio Tanzania.