Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

FUNDI TV AINA ZOTE NA TUNAFANYA NA HOME SERVICE:
JE -Tv yako haiwaki?
-tv yako inajizima ?
-tv yako unasikia sauti huoni picha?
-tv yako inawaka nusu hazijazi kioo?
-tv yako imeingia giza upande mmoja?
-tv yako imeua taa?
-tv yako inarangi moja? njano,blue,
nyekundu?
-tv yako inawaka taa nyekundu tu?
-tv yako haina sauti?
-tv yako inaonyesha mistali?
tv yako imeingiza mistali ya kulukaluka?
-tv yako inaonyesha picha mbili?
-tvyako inawaka na kujizima?
-tv yako inaonyesha kama mawingu ya rangi?
-tv yako inaonyesha picha inaganda?
-tv yako inaonyesha mwanga mweupe?
-tv yako inawaka haiandiki chochote?
TV YAKO IMEPASUKA KI00?
VIOO VIPO, KIO0 SIZE 32" NI 160,000
-KI00 43 NI 360,000
SIZE ZINGINE ZA VIOO TUWASILIANE.
0713799522
0744680670
 

Naomba bei ya motherboard,​

Hisense 43A6000F 43-inch Smart TV​

 
Mboni munaficha sura zenu,au kanjanja wa mujini,kutaka kutujaza kunyavu tuu🤔
 
Mboni munaficha sura zenu,au kanjanja wa mujini,kutaka kutujaza kunyavu tuu[emoji848]
piga sim ufanyiw kazi yako we sura za nn wakati tunafanya mpaka home service.. pig sim watu ukutane a mafundi
 
FUNDI TV AINA ZOTE NA TUNAFANYA NA HOME SERVICE:
JE -Tv yako haiwaki?
  • TV yako inajizima ?
  • TV yako unasikia sauti huoni picha?
  • TV yako inawaka nusu hazijazi kioo?
  • TV yako imeingia giza upande mmoja?
  • TV yako imeua taa?
  • TV yako inarangi moja? njano,blue,
nyekundu?
  • TV yako inawaka taa nyekundu tu?
  • TV yako haina sauti?
  • TV yako inaonyesha mistali?
  • TV yako imeingiza mistali ya kulukaluka?
  • TV yako inaonyesha picha mbili?
  • TV yako inawaka na kujizima?
  • TV yako inaonyesha kama mawingu ya rangi?
  • TV yako inaonyesha picha inaganda?
  • TV yako inaonyesha mwanga mweupe?
  • TV yako inawaka haiandiki chochote?
  • TV YAKO IMEPASUKA KI00?

VIOO VIPO, KIO0 SIZE 32" NI 160,000
-KI00 43 NI 360,000
SIZE ZINGINE ZA VIOO TUWASILIANE.
0713799522
0744680670
 
FUNDI TV AINA ZOTE NA TUNAFANYA NA HOME SERVICE:
JE -Tv yako haiwaki?
-tv yako inajizima ?
-tv yako unasikia sauti huoni picha?
-tv yako inawaka nusu hazijazi kioo?
-tv yako imeingia giza upande mmoja?
-tv yako imeua taa?
-tv yako inarangi moja? njano,blue,
nyekundu?
-tv yako inawaka taa nyekundu tu?
-tv yako haina sauti?
-tv yako inaonyesha mistali?
tv yako imeingiza mistali ya kulukaluka?
-tv yako inaonyesha picha mbili?
-tvyako inawaka na kujizima?
-tv yako inaonyesha kama mawingu ya rangi?
-tv yako inaonyesha picha inaganda?
-tv yako inaonyesha mwanga mweupe?
-tv yako inawaka haiandiki chochote?
TV YAKO IMEPASUKA KI00?
VIOO VIPO, KIO0 SIZE 32" NI 160,000
-KI00 43 NI 360,000
SIZE ZINGINE ZA VIOO TUWASILIANE.
0713799522
0744680670
 
KARIBUNI SANA WENYE TATIZO NA TV ZENU
 
Mkuu..TV yangu ina itoa mstari wa rangi kwa juu,mara njano,blue,black etc,ni samsung 50 inchs...shida ni kioo?
 
TV yangu ina mstari mnene mweusi wa kulala tatizo limeanza last week vipi matengenezo yaweza kuwa kiasi gani? tv ni star ex nch 32.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…