halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
dah kongole kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaMwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Kwani ukisema umetamani bure sura itageuka kuwa kama yake ? 😆😆Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Ila mwanamke unayetumia kiungo chako kutoka kimaisha ndio una akili?Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
"Kutoka kimaisha"Ina maana Pana sana,ila hainaga formula kutoka kimaisha ni vile things will go in your way n to make the right attempt at the right timeMwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
HatariiiMwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Sema tukupe namba zake ufukuzie chochote[emoji23][emoji23]Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Cha muhimu katoboa,hiyo pesa ni pensheni+mishahara ya watumishi zaidi ya 200Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Pesa ni pesa tuMwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
sasa hivi mke kamkaba hakuna kutoka nje!!nguo zote zimelowekwaSema tukupe namba zake ufukuzie chochote[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Hakika, mambo yao waachie wenyewe...Tatizo binadamu nao ni wabishi sana😄
Kabisa, pesa ni pesa. Tena bora huyo kuliko wanaoua ili waipate.Pesa ni pesa tu
Tayar Ana 1.2 bln
Ova
Na atapewa Mbususu kwa kiwango cha 5G atapewa style hadi za "royo tua"sasa hivi mke kamkaba hakuna kutoka nje!!nguo zote zimelowekwa