Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mchongo tuMungu akitaka kukupa hakuandikii barua walahiii khaaaaa...1.2BILION fundi garage alishajikatia na tamaaa ukute
Unataka namba ya Massawe akupe angalau laki ya kula?Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Hapa ni mwendo wa orgy tuuNa atapewa Mbususu kwa kiwango cha 5G atapewa style hadi za "royo tua"
😃 😃 😃 😃 😃nasikia wanakupa mil kadhaa imeishaa hiyooHuo ni mchongo tu
Kumbukeni anatakiwa alipe income tax 30%
Sasa vijana hawatajishughulisha na kazi daily watawaza kubeti tu nao wawe bilionea.
Ngoja nisuke formation awam ijayo niupige mwingi😋Msiache kubeti 👇
----
Valerian Massawe (36) kutoka Kiluvya, Pwani ameandika historia ya kuibuka mshindi wa zawadi ya kitita cha fedha Sh1.2 bilioni kutoka Kampuni ya michezo na burudani ya SportPesa baada ya kutabiri kwa usahihi mechi 13 za Jackpot ya wiki iliyopita ya Kampuni hiyo.
Massawe ambaye anajishughulisha na kazi ya fundi makenika, alitangazwa leo Jumatatu Mei 16, 2022 kuwa mshindi wa Jackpoti hiyo na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi SportPesa, Tarimba Abbas.
“Ni furaha yangu kubwa sana kwa niaba ya kampuni kumtangaza kwenu Florian Valerian Massawe kuwa ni mshindi rasmi wa Jackpot yetu akiwa amejishindia Sh1.2 bilioni.”
“Ikiwa ni takribani miezi 14 tangu kumtangaza mshindi wa mwisho wa Jackpot ambapo alipelekea Jackpot yetu kukua kwa kasi mpaka kufikia Bilioni 1 ikiwa ni mara ya kwanza kwenye historia ya Tanzania. lakini leo kwa furaha kubwa lile jambo letu limetimia,” alisema Tarimba.
Tarimba aliongeza kuwa tayari kampuni hiyo imeshakamilisha malipo ya kiasi hicho cha fedha kwa mshindi.
“Hili ni jambo la kihistoria kwa kampuni ya kubashiri kumtangaza mshindi wa kiasi kikubwa (Bilioni 1.2) kwenye sekta ya michezo ya kubashiri na kwenda kukabidhiwa pesa yake.”
“Fedha hizi alizoshinda tayari zipo kwenye akaunti yake ya SportPesa na tunafuata utaratibu ili kuhakikisha tunamkabidhi maana malipo yetu sisi ni papo hapo mara baada ya kuibuka mshindi,“ amesema Tarimba
Ni miaka mitano sasa tangu kuanzishwa kwa kampuni ya Sportpesa ikiwa imetangaza jumla ya washindi nane wa Jackpot.
Chanzo: Mwananchi
Asante mkuu kwa masahihisho.Kwani yule ni kampuni hadi alipe income tax ya 30%. Itatozwa kodi ya ushindi kupitia kamari ambayo ni 15%
Sio kupeti ni kubetiNgoja nianze kupeti, daaah!
Ngoja nianze kupeti, daaah!
Dah!...jamaa katusua vibaya mno...“Ikiwa ni takribani miezi 14 tangu kumtangaza mshindi wa mwisho wa Jackpot ambapo alipelekea Jackpot yetu kukua kwa kasi mpaka kufikia Bilioni 1 ikiwa ni mara ya kwanza kwenye historia ya Tanzania. lakini leo kwa furaha kubwa lile jambo letu limetimia,” alisema Tarimba.
Tarimba aliongeza
===
Valerian Massawe (36) kutoka Kiluvya, Pwani ameandika historia ya kuibuka mshindi wa zawadi ya kitita cha fedha Sh1.2 bilioni kutoka Kampuni ya michezo na burudani ya SportPesa baada ya kutabiri kwa usahihi mechi 13 za Jackpot ya wiki iliyopita ya Kampuni hiyo.
Massawe ambaye anajishughulisha na kazi ya fundi makenika, alitangazwa leo Jumatatu Mei 16, 2022 kuwa mshindi wa Jackpoti hiyo na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi SportPesa, Tarimba Abbas.
“Ni furaha yangu kubwa sana kwa niaba ya kampuni kumtangaza kwenu Florian Valerian Massawe kuwa ni mshindi rasmi wa Jackpot yetu akiwa amejishindia Sh1.2 bilioni.”
“Ikiwa ni takribani miezi 14 tangu kumtangaza mshindi wa mwisho wa Jackpot ambapo alipelekea Jackpot yetu kukua kwa kasi mpaka kufikia Bilioni 1 ikiwa ni mara ya kwanza kwenye historia ya Tanzania. lakini leo kwa furaha kubwa lile jambo letu limetimia,” alisema Tarimba.
Tarimba aliongeza kuwa tayari kampuni hiyo imeshakamilisha malipo ya kiasi hicho cha fedha kwa mshindi.
“Hili ni jambo la kihistoria kwa kampuni ya kubashiri kumtangaza mshindi wa kiasi kikubwa (Bilioni 1.2) kwenye sekta ya michezo ya kubashiri na kwenda kukabidhiwa pesa yake.”
“Fedha hizi alizoshinda tayari zipo kwenye akaunti yake ya SportPesa na tunafuata utaratibu ili kuhakikisha tunamkabidhi maana malipo yetu sisi ni papo hapo mara baada ya kuibuka mshindi,“ amesema Tarimba
Ni miaka mitano sasa tangu kuanzishwa kwa kampuni ya Sportpesa ikiwa imetangaza jumla ya washindi nane wa Jackpot.
Mwananchi
😆😆😆Arsenal anacheza leo anza kujilipua lakini jiandae kisaikolojia 😁
Hata mimi nilitaka kusema hivo...Hakuna alieshinda hiyo pesa hiyo ni mbinu ya sport pesa kuiondoa hiyo pesa yao baada ya kuona mechi ngumu zimeisha
Akili sanaUnadhani huyo anagawa gawa tu pesa kiasi kwamba hana Ndugu, Rafiki wala Jamaa wa kuwasaidia hadi akuite wewe ukatajirike kupitia yeye [emoji848]
Ukiitwa mahali kuna fursa basi tambua kuwa wewe ndiwe fursa.
Stuka, chukua hatua [emoji28]
Big yes haiwezekani upewe pesa nyingi kizembe kuna njia wanaweza kuzitumia ili usipate mzigo mkubwa mfano kuweka mshindi zaidi ya mmoja ikiwa kweli umetusua.Mmmmh! Ngonjera hizi kwenye Jackpots winners labda zile Bonus winner ndio huwa ni ukweli
Wasukuma mnashida ganiNgoja nianze kupeti, daaah!