Echisute
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 531
- 524
Duh ngoja Piraa aje atoe ushuhuda bwashee,Na atapewa Mbususu kwa kiwango cha 5G atapewa style hadi za "royo tua"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ngoja Piraa aje atoe ushuhuda bwashee,Na atapewa Mbususu kwa kiwango cha 5G atapewa style hadi za "royo tua"
We umeshawahi tumia pesa ya kamali? Pesa ni ile ile inabadilishwa majina TU sadaka,rambi rqmbi Kodi ...pesa n Ile IleHongera na pole yake sana, pesa ya kamali ina laana...
Sijawahi na sitawahi...We umeshawahi tumia pesa ya kamali? Pesa ni ile ile inabadilishwa majina TU sadaka,rambi rqmbi Kodi ...pesa n Ile Ile
Katika hio cheki yao kuna kitu sikuelewi.
Nnacho kifahamu mm, cheki ile ya mfano ina akisi kiasi halisi cha fedha atakacho kichukua mshindi na kuwekewa kwny account.
Lakn kiuhalisia hiyo 1.2B siyo atakayo ichukua yote. Sportpesa hela ta jackpot wanayo isema huwa wanakuwa hasajaikata kodi. Kwahiyo ile jackpot wakiondoa Kodi 18% inabakia 984,000,000/= na ndio nilidhani wataandika kwny hundi.
Binafsi nimeshashida mechi 10 na 11 katika hiyo jackpot, na wanakuambia umeshinda kiasi fulani na baada ya kuondoka kodi kiasi fulani, wanakuwekea balance kwny account yako.
Sasa kuweka kiasi ambacho sio halisi kwny ile hundi ya mfano, waliomkabidhi jamaa sielewi kwann, anyway ngoja wajuzi waje waseme neno.
Wivu tuUongo
Maisha ni kamari...Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Maisha ni kamari, mi nitaendelea bet hadi nifeIla mwanamke unayetumia kiungo chako kutoka kimaisha ndio una akili?
Mayweather na pesa zote alizonazo bado ana bet ndio ije kuwa fundi magari huku kajamba nani
Kubet ni kazi mi daily naingiza na kupotezaKumbukeni anatakiwa alipe income tax 30%
Sasa vijana hawatajishughulisha na kazi daily watawaza kubeti tu nao wawe bilionea.
Iko hivi hiyo hela hukatwa kodi ya 15Katika hio cheki yao kuna kitu sikuelewi.
Nnacho kifahamu mm, cheki ile ya mfano ina akisi kiasi halisi cha fedha atakacho kichukua mshindi na kuwekewa kwny account.
Lakn kiuhalisia hiyo 1.2B siyo atakayo ichukua yote. Sportpesa hela ta jackpot wanayo isema huwa wanakuwa hasajaikata kodi. Kwahiyo ile jackpot wakiondoa Kodi 18% inabakia 984,000,000/= na ndio nilidhani wataandika kwny hundi.
Binafsi nimeshashida mechi 10 na 11 katika hiyo jackpot, na wanakuambia umeshinda kiasi fulani na baada ya kuondoka kodi kiasi fulani, wanakuwekea balance kwny account yako.
Sasa kuweka kiasi ambacho sio halisi kwny ile hundi ya mfano, waliomkabidhi jamaa sielewi kwann, anyway ngoja wajuzi waje waseme neno.
maisha na kutoka kimaisha ni mtazamo wa mtu binafsi. Hakuna fomula ya maisha wala kutoka kimaisha. Na km fomula zipo ni unwritten.Mwanaume anayebeti kwa ajili ya kutoka kimaisha anauwezo mdogo wa kufikiri.
Kutajirika inawezekana ila wengi hurudi kwenye umaskini ndani ya miaka mitano au chini ya hapo.Wanaosemaga haiwezekani kutajirika kwenye sports gambling ni kina nani?
Mm walikata only 18 kwa ushindi wa mechi 11 na 10.Iko hivi hiyo hela hukatwa kodi ya 15
Pia kuna asilimia 10 inaenda gaming board kwa kila Jackpot
Hiyo VAT wanakata benki, akienda kuwithdrawalKatika hio cheki yao kuna kitu sikuelewi.
Nnacho kifahamu mm, cheki ile ya mfano ina akisi kiasi halisi cha fedha atakacho kichukua mshindi na kuwekewa kwny account.
Lakn kiuhalisia hiyo 1.2B siyo atakayo ichukua yote. Sportpesa hela ta jackpot wanayo isema huwa wanakuwa hasajaikata kodi. Kwahiyo ile jackpot wakiondoa Kodi 18% inabakia 984,000,000/= na ndio nilidhani wataandika kwny hundi.
Binafsi nimeshashida mechi 10 na 11 katika hiyo jackpot, na wanakuambia umeshinda kiasi fulani na baada ya kuondoka kodi kiasi fulani, wanakuwekea balance kwny account yako.
Sasa kuweka kiasi ambacho sio halisi kwny ile hundi ya mfano, waliomkabidhi jamaa sielewi kwann, anyway ngoja wajuzi waje waseme neno.
Sio kweliHiyo VAT wanakata benki, akienda kuwithdrawal