Fundi Magari ashinda kitita cha Tsh. bilioni 1.2 sport pesa jackpot

Ngoja nisuke formation awam ijayo niupige mwingi😋
 
Ujanja tu abasi tarimba anachukua pesa bila kodi hapo... Wajanja tunaelewa.
 
Dah!...jamaa katusua vibaya mno...
 
Unadhani huyo anagawa gawa tu pesa kiasi kwamba hana Ndugu, Rafiki wala Jamaa wa kuwasaidia hadi akuite wewe ukatajirike kupitia yeye [emoji848]

Ukiitwa mahali kuna fursa basi tambua kuwa wewe ndiwe fursa.

Stuka, chukua hatua [emoji28]
Akili sana
Mmmmh! Ngonjera hizi kwenye Jackpots winners labda zile Bonus winner ndio huwa ni ukweli
Big yes haiwezekani upewe pesa nyingi kizembe kuna njia wanaweza kuzitumia ili usipate mzigo mkubwa mfano kuweka mshindi zaidi ya mmoja ikiwa kweli umetusua.

Lakini sportpesa hata Kenya mshindi alikuwa mmoja sijui huwa wanafanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…