Wadau,
Za mchana?
Nina BMW yangu 318i nilimnunulia shemegi yenu sasa sijui kaikorofisha nini maana haitaki kuwaka. Ni either fuse/relay, pump kimeo haivuti mafuta, umeme, nozzle etc sijajua lakini nikipata fundi mzuri ataniambia.
Wapi naweza kupata fundi mzuri wa haya magari kwa hapa Dar akanichekia?? Awe mwaminifu na asiwe na bei za kutisha!!
Za mchana?
Nina BMW yangu 318i nilimnunulia shemegi yenu sasa sijui kaikorofisha nini maana haitaki kuwaka. Ni either fuse/relay, pump kimeo haivuti mafuta, umeme, nozzle etc sijajua lakini nikipata fundi mzuri ataniambia.
Wapi naweza kupata fundi mzuri wa haya magari kwa hapa Dar akanichekia?? Awe mwaminifu na asiwe na bei za kutisha!!