Nafikiri ni wakati wa wcb kutuletea mastaa wapya. Tumempoteza mavoko tumempoteza na harmonize ili pengo linatakiwa lizibwe. Hao waliiondoka siamini km tutawaskia tena kama mwanzo.Kuondoka kwa harmonize ni fundisho kubwa Sana kwa wcb ... Viongozi wa wcb walikuwa wakimbania sana harmonize ili asimzidi Boss wake diamond hadi wanaanza kuzibana ngoma zake wakati tetema imetoka ..dogo anangoma nyingi na kolabo kibao ..bora umetoka uongozi mchafu ni majanga ..
Hata Rich Mavoko alikuwa msanii mkubwa sana.Kuondoka kwa harmonize ni fundisho kubwa Sana kwa wcb ... Viongozi wa wcb walikuwa wakimbania sana harmonize ili asimzidi Boss wake diamond hadi wanaanza kuzibana ngoma zake wakati tetema imetoka ..dogo anangoma nyingi na kolabo kibao ..bora umetoka uongozi mchafu ni majanga ..
ulikuwa unamshuhudia anavyotafuniwa?alishazoea kutafuniwa sijui kama ataweza kuwa solo artist
Mtoa mada akili huna yule msanii alichukuliwa na wasafi akiwa hajui hata kutaja neno malaika anasema maraika alikuwa Hana mbele Wala nyuma hiv angekuwa anabaniwa angekuwa hapo alipo Leo? unajua how much WCB wamesipend kwa ajili yake? unajua wcb wamemdefend kwa mashabiki kwa kuwa akilalamikiwa ana iga uimbaji wa boss wake.Harmonize ni msanii aliyekuwa anapigwa vita sehemu nyingi lakin management yake ya WCB ikapambana Sana lakini ndio msanii waliobrand kwa uzito mkubwa kuliko wasanii wengine wa WCB alafu Leo unaongea upuuzi Kama huu wewe subiri muda utaongea.
ulikuwa unamshuhudia anavyotafuniwa?
Ulipotea mkuuHongera yake.
Katika wasanii waliotoa nyimbo nyingi mwaka huu Wasafi ni Harmonize,katoka nyimbo nne hamna msanii aliyetoa nyimbo zaidi ya nne,acha uongo kama kamua kuondoka mwache aondoke.Kuondoka kwa harmonize ni fundisho kubwa Sana kwa wcb ... Viongozi wa wcb walikuwa wakimbania sana harmonize ili asimzidi Boss wake diamond hadi wanaanza kuzibana ngoma zake wakati tetema imetoka ..dogo anangoma nyingi na kolabo kibao ..bora umetoka uongozi mchafu ni majanga ..