Feminists watakuwa wanajutia Baada ya kupata power waliyoitaka,Naona wanaume wananuka mavi,hakuna kuvaa nguo,watu wachache dunia kwakuwa hakuna kuzaliana, kumuua mtu kama umeua mdudu kawaida, marobot ndo masela, wanaume ndo wamekuwa wa mama, na wanawake wamekuwa mababa, yani shagarabaghala, ndani ni titi nnje nititi
Kipindi hichi raisi ni mmoja dunia nzima,labda atakuwa raisi wa wasagajiMwanangu wa kike Kawa rais wa jamhuri ya watu wa tanzania
Vuta picha kasema mNakuhakikishia kila aliyesoma huu uzi hakuna atakayetoboa 2100
Mbona tulishaanza kitamboWanawake kutongoza wanaume
SINA BAHAT MIEMbona tulishaanza kitambo
Nitongoze basi...Mbona tulishaanza kitambo
Mbona mle nilikutongoza liveNitongoze basi...
Kuna uzi humu JF wa zamu ya wanawake kushushia mistari wanaume...
Coming of Jesus.....Nafunga macho naanza kuvuta picha kwamba kama ntafika mwaka 2100
1. Bangi imeruhusiwa karibu Kila nchi, ni bidhaa unayoweza kuipata hata Kwa Mangi na kutumia hadharani.
2. Jiji la dar limepanuka sana, Mlandizi pamebomolewa na kujengwa upya, maghorofa kibao
3.Smartphone zitakuwa kama kandambili, hata duka la mangi zitakuwepo