Funga macho, vita picha katika fikra kwamba umeweza kuishi mpaka 2100, ni kitu gani unakiona ?

Funga macho, vita picha katika fikra kwamba umeweza kuishi mpaka 2100, ni kitu gani unakiona ?

Siasa za Tanzania, Chadema kuungana na CCM na kuunda chama kipya kitakacholeta maendeleo tz
 
Baada ya kufunga macho naanza kutembea.
1.siasani
Naona ikulu ina chama kipya ila sio moja ya hivi tulivyonavyo.Nimepitia hapa kijiwe kimoja maarufu naona wazee wa heshima wanapiga story huku nyuso zao zikionyesha hudhuni kidogo kwa wanachosimulia...ebu subili kidogo..nimewatambua wazee wawili hapa mmoja ni mzee zito kabwe anaonekana kulaumu vijana kwa kuwa midebwedo kisiasa huku akiwasimulia enzi zake alivyokuwa moto japo hana meno kwa uzee lakini bado anaonekana kujiamini.Vijana kadhaa hapa wa chama cha upinzani cha ccm wanaonekana kumsikiliza kwa makini huku wakitupia vijimaneno vya lawama kwa chama tawala kwa wao ccm kupata wabunge watatu pekee nchini.Namvuta pembeni kijana mmoja namuuliza kama anaifahamu chadema,lahaulaa! anadai aliwahi simuliwa na babu zake kuwa kulikuwa na chama kama hicho hapo zamani.
2.Nikaondoka kuelekea kwenye vifaa vya electronics.
-Naingia hapa dukani....ooop! Nasimamishwa na roboti hapa inaniskani na kuniuliza maswali kadhaa...loo!ndugu wasikilizaji mambo makubwa haya kwenye hii roboti inanionyesha hadi ndani ya utumbo chakula nilichokula kabla sijasafiri kwenda 2100.Nimeruhusiwa sasa naingia ndani....ndugu wasikilizaji naona kila mtu ananishangaa hapa kwani nimevaa suruali ambazo haziko tena maana naona wamevaa kama bukta hivi lakini ni fupi sana na wasichana naona wameficha tu 'k' lakini naona kalio lote njee kabisa.Najisogeza kishingo upande kuona vifaa kwa kweli kuna vifaa vingi sana na nitawasimulia vichache,
naona hakuna tena simu hizi za 2022 naona kifaa mfano wa simu lakini kipo tofauti kidogo lakini kinatumika kwa kazi nyingi naona mawasiliano,kuendeshea vifaa vya kilimo,roboti za kila aina,kuskania watu miongoni mwa kazi nyingine.Baada ya kuona simu aina hiyo ikanilazimu kutoka njee mara moja nione minara itakuwaje ...lahaula sioni mnara hata mmoja naulizia hapa naambiwa ni seterite tu zinatumika,basi najikongoja kuingia tena ndani japo ninunue moja,natoa kibunda nilichotoka nacho 2022..oop.hawapokei keshi tena ni mwendo wa 'digital currency' tu.Nakaa pembeni kwa masikitiko hapa...hebu subili..naona kijana hapa anaweka tu kidole mezani,naona kioo chenye scana juu ya meza huyu kijana ameweka kidole,namuuliza kijana hapa ananiambia kila mtu kwenye kidole ana 'micro-chip'ambayo ina taarifa zake zote kuanzia utambulisho hadi masuala mengine yakiwemo ya fedha hivyo manunuzi,utambulisho,milango ya nyumba za kuishi,milango ya magari na vifaa vingine ni mwendo wa kuscan tu,kwa hamaki nachomoa kadi yangu ya benki kutoka mfukoni kwa pupa kumwonyesha kama hizi bado zipo,ebwaaana eee,anadai hajui ni kitu gani hiki.oohoo moyo unaanza kudunda napata wapi pesa nikikwama huku,namuuliza kama kuna benki yoyote,naambiwa kuna benki moja tu ambayo ndiyo inaratibu masuala yote ya fedha na fedha ni aina moja dunia nzima na ni mwendo wa digital pekee.........shubamit watu huku wamekuwa kama vichaa naons analiongesha gari likapaki na linatii kwenda kupaki nyumbani kwake na kuna mtu ananinong'oza kuwa jamaa anaishi kilomita mbili toka hapa na ndiko gari linaenda na yeye anapanda hypersonic jet ya X-43A anaenda mara moja new york atarudi baada ya masaa mawili. Naanza kukata tamaa ya kuendelea maana huenda nikakwama huku.
3.Nimetoka hapa kwa msaada wa msamalia kupata usafiri kunipeleka katavi kupitia kigoma.naambiwa stesheni hapa kuna watu wa katavi,mwanza,mtwara,kagera wanafanya kazi hapa dar na kurudi kwenye mikoa tajwa hapo kwa kuwa treni hapa ina mwendo wa km 950 kwa saa, na wengine huwa wanatumia ndege zinazopiga kama daladala mkoa kwa mkoa,kwa kuwa msamalia amenipa msaada wa usafiri wa treni naingia kwenye treni kiwoga woga na msamalia huyu binti ambaye ameniambia anaitwa mgoda....tupo kati kati ya safari hapa naona kitu cha ajabu hapa nayaona matreka kwenye mashamba umbali kidogo,naambiwa hayana dereva bali ni coordinarate(latitudes na longitudes)tu za mashamba zinatumika huku yenyewe yakiendeshwa kiditatari na mtu mmoja tu na anacontrol hata trekta 20 kwa mpigo kidigitali.Nauliza kama urahisi huu mashamba yanawatosha wakulima ananiambia hata hivyo kuna wakulima hawadidi 2000 nchi nzima na wanavibsli vya kuzalisha wao tu, baada ya kuniona nashangaa akaona aniambie vya kushangaza zaidi,anasema hata hospitali wahudumu ni wachache sana kwa kuwa kazi karibia zote zinafanywa na roboti,kuzaa wanaozaa ni wachache sana wengi wanaenda kuweka mayai maabala na kuunganisha mbegu za kiume na watoto wananza kukuzwa humo,ananiambia kuwa nyama za wanyama hai kama kuku,ng'ombe,mbuzi na kondoo ni za wenye pesa tu,maskini wanakula nyama,maziwa na hata mayai yanayotengenezwa maabala kwa wingi sana,...........wapenzi wasikilizaji nipo katavi sasa.....huwezi amini katavi ni kama posta dar au nairobi,na cha kushangaza sioni nguzo umeme wala waya wa umeme na baada ya kudodosa naambiwa kwa sasa waya haujitajiki tena kwa kuwa wanafunga vifaa maalumu nje nyumba zao na wanapata umeme kwa mawimbi maalumu,nikiwa nimezubaa hapa naona watoto wanachezea vidoli vya tembo,najaribu kuulizia kama wanawajua hao wanyama,daa naambiwa huwa wanawaona kwenye tv wanasema walisimuliwa kuwa waliishi miaka 80 iliyo pita.

Itaendelea..
 
Baada ya kufunga macho naanza kutembea.
1.siasani
Naona ikulu ina chama kipya ila sio moja ya hivi tulivyonavyo.Nimepitia hapa kijiwe kimoja maarufu naona wazee wa heshima wanapiga story huku nyuso zao zikionyesha hudhuni kidogo kwa wanachosimulia...ebu subili kidogo..nimewatambua wazee wawili hapa ni mzee zito kabwe anaonekana kulaumu vijana kwa kuwa midebwedo kisiasa huku akiwasimulia enzi zake alivyokuwa moto japo hana meno kwa uzee lakini bado anaonekana kujiamini.Vijana kadhaa hapa wa chama cha upinzani cha ccm wanaonekana kumsikiliza kwa makini huku wakitupoa vijimaneno vya lawama kwa chama tawala kwa kupata wabunge watatu pekee nchini.Namvuta pembeni kijana mmoja namuuliza kama anaifahamu chadema,lahaulaa!anadai aliwahi simuliwa kuwa babu zake kuwa kulikuwa na chama kama hicho hapo zamani.
2.Nikaondoka kuelekea kwenye vifaa vya electronic.
-Naingia hapa dukani....ooop! Nasimamishwa na roboti hapa inaniskani na kuniuliza maswali kadhaa...loo!ndugu wasikilizaji mambo makubwa haya kwenye hii roboni inanionyesha hadi ndani ya utumbo chakula nilichokula kabla sijasafiri kwenda 2100.Nimeruhusiwa sasa naingia ndani....ndugu wasikilizaji naona kila mtu ananishangaa hapa kwani nimevaa suruali ambazo haziko tena maana naona wamevaa kama bukta hivi lakini ni fupi sana na wasichana naona wameficha tu 'k' lakini naona kalio lote njee kabisa.Najisogeza kishingo upande kuona vifaa kwa kweli kuna vifaa vingi sana na nitawasimulia vichache,
naona hakuna tena simu hizi za 2022 naona kifaa mfano wa simu lakini kipo tofauti kidogo lakini kinatumia kwa kazi nyingi naona mawasiliano,kuendeshea vifaa vya kilimo,roboti za kila aina,kuskania watu miongoni mwa kazi nyingine.Baada ya kuona simu aina hiyo ikanilazimu kutoka njee mara moja nione minara itakuwaje...lahaula sioni mnara hata mmoja naulizia hapa naambiwa ni seterite tu zinatumika,basi najikongoja kuingia tena ndani japo ninunue moja,natoa kibunda nilichotoka nacho 2022..oop.hawapokei kesji tena ni mwendo wa mtandao tu.Nakaa pembeni kwa masikitiko hapa...hebu subili..naona kijana hapa anaweka tu kidogo mezani,naona kioo chenye scana juu ya meza huyu kijana ameweka kidole,namuuliza kijana hapa ananiambia kila mtu kwenye kidole ana 'micro-chip'ambayo ina taarifa zake zote kuanzia utambulisho hadi mauala mengine yakiwemo ya fedha,nachomoa kadi yangu ya benki kumwonyesha kama hizi bado zipo,ebwaaana eee,anadai hajui ni kitu gani hiki.oohoo moyo unaanza kudunda napata wapi pesa nikikwama huku,namuuliza kama kuna benki yoyote,naambiwa kuna benki moja tu ambayo ndiyo inaratibu masuala yote ya fedha ni mwendo wa digital pekee.Naanza kukata tamaa ya kuendelea maana huenda nikakwama huku.
3.Nimetoka hapa kwa msaada wa msamalia kupata usafiri kunipeleka katavi kupitia kigoma.naambiwa stesheni hapa kuna watu wa katavi,mwanza,mtwara wanafanya kazi hapa dar na kurudi kwenye mikoa tajwa hapo,nashangaa huku nikiingia kwenye treni kiwoga woga....tupo kati kati ya safari hapa naona kitu cha ajabu hapa matrekani nayaona kwenye mashamba umbali kidogo,naambiwa hayana dereva bali ni coordinarate tu zinatumika, daa nimeghaili atumwe mwingine nitaenda siku nyingine.
Aisee umemaliza. Kweli kabisa hujakosea. Its what its coming. Binafsi sitaman kufika hizi nyakati ni heri masihi arudi mapema kwakweli
 
Back
Top Bottom