Funga mwaka na KING KIBA VIP 400,000/=(laki nne)

Huna hoja ... OVA
We usilazimishe tuache kilichoandikwa tukufate ww ndugu watu wana jeuri ya pesa wanaweza wakawa watatu wakachukua meza ya laki nne kwani nin?...kiba jini hilo msishindane nalo shauri yenu.
 
Hahahahahahaaaa angewaalika WCB wajifunze live show siyo ma cd tu hata makanisani wanaimba live hawa jamaa sijui wa wapi haahhaha
 
We usilazimishe tuache kilichoandikwa tukufate ww ndugu watu wana jeuri ya pesa wanaweza wakawa watatu wakachukua meza ya laki nne kwani nin?...kiba jini hilo msishindane nalo shauri yenu.
Kwa jeuri tu wapo wanaoweza lipia show nzima na akaingia peke yake...nini meza..?? ZUNGUMZIA KILICHOANDIKWA.... MEZA YA WATU 8 SHILINGI LAKI 4. In other words, Kila kiti ni Shilingi 50,000/- (hesabu ya kawaida tu na sioni unachobisha)

Kama mwenye jeuri atalipia meza na akakae peke yake, HAIONDOI UKWELI KWAMBA KILA MEZA NI SHILINGI LAKINI 4 na hiyo inafanya kiti kimoja katika hiyo meza ni shilingi elfu 50.

Huyo mwenye jeuri alipe basi hiyo laki 4, halafu mezani wakakae 10 aone..!!!
 
kiba anapiga live kaka huo upuuz wa playbak upo madale
 
Hizo
Hizo hesabu zako kaka usitulazimishe kuamini utakavyo nakupa fact na hizo matangazo zimeandikwa hivyo mzee lete andiko lililoandikwa hiko unachosema then i will shut up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…