Mkereketwa wa NAZI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 1,048
- 2,449
Sisi kama basata tunafuatilia lalamiko lako soon utaona mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wanakupinga unapotosha na unajaribu kueleweshwaInaumiza sana, halafu kuna watu from nowhere wanaamua kunipinga.
SIJUI HII JAMII INAELEKEA WAPI.
Aisee!Jamii inapotosha na wewe unaendelea kupotosha baada ya kutoa elimu watu wasifikiri hivyo.
Mzee kasome mwenyewe kamusi uone maana ya neno kudanga.
Toa elimu kuhusu neno hilo na si kuleta ngonjera kubali kujifunza kuliko kusema jamii inasema nn
JobTrueTrue 🔥Ila mtoa mada unapost sana halafu karibu mada zote ni ujinga ujinga tuu
Hata huu... 🎶CCM mbele kwa mbele.... 🎶 Ni wimbo wa matusi.Nyimbo nyingi tu matusi
Watu wakidanga wewe unakasirika? How?Concentrate na mada tafadhali!
Au wewe unafurahia watu kudanga?
SidhaniNi kweli hii mada ya kijinga
Wabafutaga kwa maelekezo ya NapeToa sasa nyimbo ya kukandia CCM, dakika tu wanafuta
Kudanga kwa tafsiri ya jamii yetu ni kutoa penzi kwa malipo.Aisee!
[emoji1787]Wimbo mbaya kuna mstari wanaimba;
'Na ukipata limama, eh likomoe
Likupe pesa huu mwaka utoboe'
Ni upuuzi wa mwisho yaani na vijana wana ukariri kama kasuku
Naunga mkono hojaToa sasa nyimbo ya kukandia CCM, dakika tu wanafuta
Mbona unajihami.?! Kwan nimekuuliza unanipenda km nani? 🤣NAKUPENDA ❤️
Nakupenda kama Member mwenzangu.
Amani itawale
Kwani Kuna sheria inamkataza? Au Kuna limit?Kwa siku una nyuzi ngapi?