Fungieni huu wimbo unahamasisha Umalaya kwenye Jamii

alafu baadae tena tunaitana kwenye midahalo ya kulipana posho kujadili kwanini maadili yanaporomoka siku hizi hii nchi hii...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
ungeuweka humu huo wimbo ili tuhiridhishe na kupata wasaha mzuri kuutafakari zaid na ama kuunga mkono haja au kupinga na kupendekeza wayfoward
 
ungeuweka humu huo wimbo ili tuhiridhishe na kupata wasaha mzuri kuutafakari zaid na ama kuunga mkono haja au kupinga na kupendekeza wayfoward
Nenda mjini Youtube search hiyo Title utaupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…