The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Nitasoma kama ilivoandikwa.... Waongo 9:23-27 .... Ni heri wafe watu wote tubakie mimi na wewe hapa duniani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini sikukujua mapema..!! Yaani waongo ni hatariWaongo waraka wa 2, 3-4 inasema
"siku zote ulikuwa wapi? Sijawahi pendwa kama hivi"
Kama kichwa cha habari kinavyo sema tukumbushane baadhi ya maneno naanza na waongoView attachment 2271292
nikiendelea waongo 5:47 kinasema “Mama angu anakusalimia”
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waongo 1:1 "kuna kazi kidogo naifanya baby nikimaliza nitakucheki"