Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
[emoji1787][emoji1787]Waongo 1:4
Nakupunguzia bei kwa ajili yako tu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbukumbu la waongo 77: 77 " the beauty of a woman is in the eyes of a beholder"
Andiko hili limechakachuliwa kutoka kwenye " Kitabu cha walevi 1:1 " ambacho kinasema " THE BEAUTY OF A WOMAN IS IN THE EYES OF A BEER-HOLDER"
"Hii bei huwa siuzi kabisa, ni wewe tu nimekupunguzia. Usije mwambia mtu umenunua bei hiyo".Waongo 1:4
Nakupunguzia bei kwa ajili yako tu!
Naona nyie Ndio waundaji wa duniaNitasoma kama ilivoandikwa.... Waongo 9:23-27 .... Ni heri wafe watu wote tubakie mimi na wewe hapa duniani....
[emoji3][emoji3][emoji56]waongp 2;24-25
“Ningekua sijaoa ningekuoa wewe”
@LIKUD nimeipenda hiiKumbukumbu la waongo 77: 77 " the beauty of a woman is in the eyes of a beholder"
Andiko hili limechakachuliwa kutoka kwenye " Kitabu cha walevi 1:1 " ambacho kinasema " THE BEAUTY OF A WOMAN IS IN THE EYES OF A BEER-HOLDER"
Kinachofuata asije akakulaumuWaongo 1:4
Nakupunguzia bei kwa ajili yako tu!
Mhh apo tunapigwa n vitu vizito sana kwny usogoWaongo 3: 12 Nakupenda peke yako sina mwingine zaidi yako
Mhh ukiangalia kipenyo[emoji856] sisemi [emoji850]Waongo Arobaini:kenda
" Taratibu,sijawai"
Imekaa kijasusi sanaView attachment 2271473
Waongo 2022: 07- Nanukuu kama ilivyoandikwa ''Baby ile biashara yangu ya kuagiza vitu kutoka China imeyumba kwa sababu ya korona, naomba uniongezee mtaji''.
Mmh nawe,mwoneMhh ukiangalia kipenyo[emoji856] sisemi [emoji850]
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Ukisogea mbele kidogo pale mstari wa tano, utakuta, tena peke yakoWaongo 2 fungu la 3 mstari wa 4, imeandikwa; "Nitakupenda daima"
😂😂 waongo ni hatari hadi wanahusisha wazazinikiendelea waongo 5:47 kinasema “Mama angu anakusalimia”