jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
- Thread starter
-
- #221
Nani unampenda kati ya mademu hao ila mtoe atotoRekebisha kichwa cha mada kisomeke "Funguka jina la kike unalolipenda hapa JF"
atoto
rubii
Heaven Sent
Evelyn Salt
Jimena
Nifah
miss chagga
& wale wote wenye majina yenye mwelekeo wa kike.
Litakuwa dume hili ndo maana linakufiaThanks, nakupenda pia japo umekataa kutaja jinsia yako lol
Usipojua uendako njia yyoyote itakufikishamkuu popote nitakapotokea sawa tu
We unajina kama lah!,,mambo vipi lakin nimekupenda na wewe kwa ajil ya name ako[emoji3] nipo hapa
Mmmh hapo sina uhakika mweeeLitakuwa dume hili ndo maana linakufia
Ooh! Sawa tutapendana vzuri kesho nyama choma [emoji23][emoji23]U mrembo sana, hakika nakupenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me nampenda kikongwe aka faiza foxy
Niko tayari kubemendwa kwa penzi la kikongwe.
ila aache kutumia ugoro.
Duh kuanza na kuanza na nyama chouma?! 🙂Ooh! Sawa tutapendana vzuri kesho nyama choma [emoji23][emoji23]
Sukari yaoRekebisha kichwa cha mada kisomeke "Funguka jina la kike unalolipenda hapa JF"
atoto
rubii
Heaven Sent
Evelyn Salt
Jimena
Nifah
miss chagga
& wale wote wenye majina yenye mwelekeo wa kike.
Hahaha uwii Kaka mbona simuoni siku hz mlivuka mabonde ya wapiEverloved Angel Nylon...tumevuka milima na mabonde..! Umenivumilia kwa mengi nakupenda sana mumie
Ukauziwa mbuzi kwenye gunia mkuuMi mpaka nione japo kapicha,maa hii j.f unaweza ukapenda hewa bure...ukapata hasara!
[emoji23][emoji23][emoji23]mapenzi ya ukutaDuh kuanza na kuanza na nyama chouma?! 🙂
Sikutegemea kama ungetaja kitu kidogo hivi mpenzi[emoji7] [emoji7] [emoji7]Ooh! Sawa tutapendana vzuri kesho nyama choma [emoji23][emoji23]
HayaSikutegemea kama ungetaja kitu kidogo hivi mpenzi[emoji7] [emoji7] [emoji7]
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]
Mimi apa wakoMimi je hakuna anayenipenda????
Rudi tu [emoji125] njo uchangie madaMada zingine, Mh[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha mmmmhmiss chaga nakukubali kinoma
Siku nyingine huwa nakuwaza jinsi ulivyo ila sikupatii picha.. Naomba kama upo tayari tuonane.. Me ni mwanaume wa mkoani ila nategemea Kuja dar mwezi wa kumi na mbili Kuja kutembea kidogo.. Unipe kampani
Kwangu fedha sio tatizo kubwa Sana [emoji574] [emoji161]... Unasemaje?
Km ww ni ke nitaje mimiCtajwi nataja....