Jipu gumu
Senior Member
- Jul 19, 2016
- 133
- 116
Huyu THT napenda sana Sijui kwa nini jamaninakupenda pia Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu THT napenda sana Sijui kwa nini jamaninakupenda pia Mkuu
Utakuwa umedata Na avatar hahahaha..!!Huyu THT napenda sana Sijui kwa nini jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]U
Utakuwa umedata Na avatar hahahaha..!!
Everybody knows-my sweet manka[emoji4]Eeeeh? ????
Tatizo ni kwamba baadhi yenu majina hayako bayana kama ni +ke au +me. Watu wanaogopa kujichanganya na kujikuta wakishikishwa UKUTA (na kuomba po!)Aisee wengine tukaoge maji ya magadi ,yaani katika mamima ya watu usipate hata mmja wa kukupenda uwiiiiii
Ati????!Thanteeee, nakupenda pia
Hahahaaa!! Mkwe unalo!Ati????!
Kaanzishe basi.Muwaanzishie uzi na wanawake nao wachague wanaume wanaowapenda nao wana mioyo jamani
yaani huu mwaka ni wangu!Hahahaaa!! Mkwe unalo!
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, ukiona hivyo ujue kweli binti yuko njema.yaani huu mwaka ni wangu!
Jamani, amri kuu ni "Upendo"Ati????!
[emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7]Everybody knows-my sweet manka[emoji4]
haaa! haaa! haaa!U
Utakuwa umedata Na avatar hahahaha..!!
Hahaha sawa ila mke alipaswa kusema ahsante nina mume!Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, ukiona hivyo ujue kweli binti yuko njema.
Jamani ahsante sana, nakupenda piaMi nampenda xn heaven sent
tatizo moyo wangu tu bibieJamani, amri kuu ni "Upendo"
Huo ni upendo tu wa Kristo jamaniHahaha sawa ila mke alipaswa kusema ahsante nina mume!
Haha moyo mashinetatizo moyo wangu tu bibie
Ndio hapo hata mimi nashangaa kakauka tu!!Hahaha sawa ila mke alipaswa kusema ahsante nina mume!
We mwana weeeh!!Jamani ahsante sana, nakupenda pia