Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema amri kuu ni Upendo, hivyo anawapenda sana pia.Kama "Divine" ni mwanamke... habari hii imfikie....much love kwake....naomba Dada Heaven Sent ufikishe taarifa hii.....
Ila kweli huyo Divine anaonekana amesimama sana kiroho na hofu ya mungu as well.
ILA sasa unaweza kukuta ni mmama mke ya mutu....si kijana mwenzetu.
May God bless her.
Ahsante, ila hapo uliponiita dada ndo umeharibu kila kitu asee,mimi nampenda sana dada Evelyn Salt
Mi ni kidume cha mbegu, braza man flani hiviyule comment zake nying zime kaa kiume ume
hahahaha hakuna aliekutaja @princessariananampenda Princess Ariana[emoji7][emoji7]
Uwezo ninao, sababu ninazo na nia ninayoEvelyn salt unapendwa sana unauwezo wa kumilik wote hao?
Gud,Uwezo ninao, sababu ninazo na nia ninayo
[emoji38] ucjal wamesha kuonaAisee wengine tukaoge maji ya magadi ,yaani katika mamima ya watu usipate hata mmja wa kukupenda uwiiiiii
TajaNiwataje wote?
Valentina habari ya likizo, karibu tena jukwaani.Taja
Kakaake mamboNilkua nakusaka
Asante mama... Vipi mlokole hajambo eeValentina habari ya likizo, karibu tena jukwaani.
nilikua nakusubiri njoo pm tujuane mremboAisee wengine tukaoge maji ya magadi ,yaani katika mamima ya watu usipate hata mmja wa kukupenda uwiiiiii