Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Aisee wengine tukaoge maji ya magadi ,yaani katika mamima ya watu usipate hata mmja wa kukupenda uwiiiiii
Tatizo ni kwamba baadhi yenu majina hayako bayana kama ni +ke au +me. Watu wanaogopa kujichanganya na kujikuta wakishikishwa UKUTA (na kuomba po!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…