Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Anayenivutia japo ata simjui ni heavensentious
 
Hahahaaaaa!!! Kwakweli na uwe tu mchochezi!
ha ha ha ha ha kwakweli bora iwe hivyo.!!!..nikileta majina tu watasema nasingizia nascreen shot, πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Pole sana Mkuu, kutokutajwa kwako na hisi jina linachangia....linatuogopesha mno, si unaju kidogo lifanane na yule ***** .in laden?...heaven forgive me...
 
basi mkuu usi screenshot watu taaibika hapa...
mimi penda sana asmaa80
 
basi mkuu usi screenshot watu taaibika hapa...
mimi penda sana asmaa80[/QUOTE
ha ha ha ha nimecheka, mpaka nitishie maisha ndo unipendeπŸ™‚πŸ™‚, acha kuwatetea.
 
Pole sana Mkuu, kutokutajwa kwako na hisi jina linachangia....linatuogopesha mno, si unaju kidogo lifanane na yule ***** .in laden?...heaven forgive me...
ha ha ha ah ah mmmh!! haya bwana labda ni hivyo.. ila kwa hao walo PM Walijua walichokuwa wanakiata lol.
 
ha ha ha ah ah mmmh!! haya bwana labda ni hivyo.. ila kwa hao walo PM Walijua walichokuwa wanakiata lol.
Kwanza samahani, kama mtu alikujia PM ukampiga chaga hapa unataka akutake kwa lipi? huo ndio MUUGIZA sasaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwanza samahani, kama mtu alikujia PM ukampiga chaga hapa unataka akutake kwa lipi? huo ndio MUUGIZA sasaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mmmh jamani, Lakini si alinipenda basi angalau angesema nilimpenda lakini kanipiga changa lol..... Sikutegemea kama wote hakuna ambae ameshindwa kujizuia nakutamka, ni wazi wana wengi wanao wazimikia, aisee abarikiwe aloweka hii thread!! ILA NAWAPA MASAA 24, Wajitokeze wanitoe Gundu lol
 
Yaani Jf ina members 349 869, wewe una miaka 6 humu ndani...hivi ni kweli kwamba hakuna aliyekutoa gundu au unatafuta kiki?...anyway ata mimi nasubiri hizi 24hrs zipite...usisaha kunitag utakapo chukua hatua.
 
Yaani Jf ina members 349 869, wewe una miaka 6 humu ndani...hivi ni kweli kwamba hakuna aliyekutoa gundu au unatafuta kiki?...anyway ata mimi nasubiri hizi 24hrs zipite...usisaha kunitag utakapo chukua hatua.
yani Gundu japo la kunitaja tu lol..Ntakutag ila hakikisha una bando la kutosha.
 
yani Gundu japo la kunitaja tu lol..Ntakutag ila hakikisha una bando la kutosha.
Kah! bando la kutosha tena? mimi nanunua net ya kutumia mwaka mzima kwahiyo usiwe na wasi wasi hii ni september.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…