Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Siamini kama sijatajwa hata na mmoja sasa nyie ambao mnanijipendekeza PM na maneno teletele nawapa 24hrs msipokuja hapa na Screen shot naleta majina yenu hapa!! Kumbe wanaume ni waongo hivyo🙁🙁🙁🙁🙁 NA NIWE TU MCHOCHEZI HAINA NENO!!
Pole sana Mkuu, kutokutajwa kwako na hisi jina linachangia....linatuogopesha mno, si unaju kidogo lifanane na yule ***** .in laden?...heaven forgive me...
 
Siamini kama sijatajwa hata na mmoja sasa nyie ambao mnanijipendekeza PM na maneno teletele nawapa 24hrs msipokuja hapa na Screen shot naleta majina yenu hapa!! Kumbe wanaume ni waongo hivyo🙁🙁🙁🙁🙁 NA NIWE TU MCHOCHEZI HAINA NENO!!
basi mkuu usi screenshot watu taaibika hapa...
mimi penda sana asmaa80
 
Pole sana Mkuu, kutokutajwa kwako na hisi jina linachangia....linatuogopesha mno, si unaju kidogo lifanane na yule ***** .in laden?...heaven forgive me...
ha ha ha ah ah mmmh!! haya bwana labda ni hivyo.. ila kwa hao walo PM Walijua walichokuwa wanakiata lol.
 
ha ha ha ah ah mmmh!! haya bwana labda ni hivyo.. ila kwa hao walo PM Walijua walichokuwa wanakiata lol.
Kwanza samahani, kama mtu alikujia PM ukampiga chaga hapa unataka akutake kwa lipi? huo ndio MUUGIZA sasa😀😀😀😀😀
 
Kwanza samahani, kama mtu alikujia PM ukampiga chaga hapa unataka akutake kwa lipi? huo ndio MUUGIZA sasa😀😀😀😀😀
Mmmh jamani, Lakini si alinipenda basi angalau angesema nilimpenda lakini kanipiga changa lol..... Sikutegemea kama wote hakuna ambae ameshindwa kujizuia nakutamka, ni wazi wana wengi wanao wazimikia, aisee abarikiwe aloweka hii thread!! ILA NAWAPA MASAA 24, Wajitokeze wanitoe Gundu lol
 
Mmmh jamani, Lakini si alinipenda basi angalau angesema nilimpenda lakini kanipiga changa lol..... Sikutegemea kama wote hakuna ambae ameshindwa kujizuia nakutamka, ni wazi wana wengi wanao wazimikia, aisee abarikiwe aloweka hii thread!! ILA NAWAPA MASAA 24, Wajitokeze wanitoe Gundu lol
Yaani Jf ina members 349 869, wewe una miaka 6 humu ndani...hivi ni kweli kwamba hakuna aliyekutoa gundu au unatafuta kiki?...anyway ata mimi nasubiri hizi 24hrs zipite...usisaha kunitag utakapo chukua hatua.
 
Yaani Jf ina members 349 869, wewe una miaka 6 humu ndani...hivi ni kweli kwamba hakuna aliyekutoa gundu au unatafuta kiki?...anyway ata mimi nasubiri hizi 24hrs zipite...usisaha kunitag utakapo chukua hatua.
yani Gundu japo la kunitaja tu lol..Ntakutag ila hakikisha una bando la kutosha.
 
yani Gundu japo la kunitaja tu lol..Ntakutag ila hakikisha una bando la kutosha.
Kah! bando la kutosha tena? mimi nanunua net ya kutumia mwaka mzima kwahiyo usiwe na wasi wasi hii ni september.
 
Back
Top Bottom