ha ha ha ha USIENDELEE KUSEMA NTAONA AIBU lol.Hakuna kitu kizuri kama upendo..hasa ukipata bahati ya kupendwa na ww asmaa80
naruhusiwa kumtaja hata mke wangu wa kiukweli kwelii?
Kuna waliojisalimisha PM kama wale watu wa Vikindu walivyojisalimisha Polisi...wameomba radhi kwa kuto kukutaja hadarani...lakini nilipitia post zote ili kujihakikishia,,,,ndipoha ha ha ha ha ha ha umenichekesha wewe, Aisee hii kweli sijaona ila nawe una moyo yaani umeena kutafuta mpaka umepata mtu alonitaja, yani ni amewaokoa wenzake kwakweli ila ngoja niangaalia mida na tarehe isije ikawa baada ya kutoa hali ya hatari lol.
daa afadhali katulindia heshima maana ungetuaibishaKuna mtu amewaokoa, kumbe nilitajwa🙂
ha ha ha ha ah lol.daa afadhali katulindia heshima maana ungetuaibisha
ha ha ha ha kwakweli nimewasamehe, bo adams kawasaidia lol.Kuna waliojisalimisha PM kama wale watu wa Vikindu walivyojisalimisha Polisi...wameomba radhi kwa kuto kukutaja hadarani...lakini nilipitia post zote ili kujihakikishia,,,,ndipo
nikaona Ndugu bo adams amekutoa gundu...Kwa shujaa alioonesha Mkuu bo adams natangaza kutengua adhabu kwa watuhumiwa wote....bo adams hongera Mkuu.
Awesome. ..love u more ! Masunga Maziku!Nothing to say more, I[emoji173] u
Namhala. Naona mambo siyo mabaya. Naomba angalau niwe best man tu siku ile tukufu ili niweze kumwona shemeji ISIS kwa ukaribu. Hata kuchangia maziku kadhaa kwa ajili ya mahari niko tayari. Safi sana!Nothing to say more, I[emoji173] u
Mimi nampenda sana Valentina
you are my heart desire,huhuhuuuuu that one you don't have to mention honey, I love you every second.
many thanks lavuuu, and i will always be good to you.you are my heart desire,
Never leave u foeva <3