Huo ugali wa muhogo namtama mbona sipatani nao sasa! UwiiiJamani jamani utanifanya nikose msukuma humu ujue, usinifanyie hivyo.
Hahahaaaaa!! Wa muhogo na mtama nilinawa mikono, aisee ugali kazi kuupika ule!
Kulima tu... Si tunaweka vibarua banaKulima.
Huo ugali wa muhogo namtama mbona sipatani nao sasa! Uwiii
Hata sijui kupika mwenzangu... Chips zenyewe naunguzamm napenda valentina unajua kupika kwel
Aise... Sasa haifai kulegeza kidogo jamani[emoji17]Ndo hivo mamie, nimekwambia ukipenda boga penda na ua lake
tutakula tyu hata matunda au sioHata sijui kupika mwenzangu... Chips zenyewe naunguza
Ndio ujitahidi, mwenzio ndio chakula nyumbani so nishauzoea ila kuupika ndio shughuli.Huo ugali wa muhogo namtama mbona sipatani nao sasa! Uwiii
Anajichetua tu, wakati hiyo shughuli ndio anayoiota na ndio inayompeleka huko.Vale asikudanganye huyu atoto
Anajua sana kazi yake kubwa ni nini.
Vale ww [emoji1] [emoji1] [emoji1] uchokozi huoKwani kazi ya mno ni nini ya kuhitaji huo ugali mgumu?
Mmh we unakula kabisa au unagusagusa tuNdio ujitahidi, mwenzio ndio chakula nyumbani so nishauzoea ila kuupika ndio shughuli.
Anajichetua tu, wakati hiyo shughuli ndio anayoiota na ndio inayompeleka huko.