Yaani nikikumbukaga nacheka, kuna siku nikamtania, nikamwambia 'lazima lile kofi nikurudishie mke mwenza', akanijibu 'thubutu kama haujalazwa!!'Kama nakuona ulivyotoa mijicho
Hahahaaaaa!! amekuwa mchaga tena!Weeee nijikute tu. Kumbe yule mzee mwenyewe wake zake wapo usukumani kawaacha huko. Yupo tu town anakodoa
Sijui Kwa nini nimehisi kuwa bibi yako ndo kakurithisha ukorofi[emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125]Yaani nikikumbukaga nacheka, kuna siku nikamtania, nikamwambia 'lazima lile kofi nikurudishie mke mwenza', akanijibu 'thubutu kama haujalazwa!!'
Nimemmiss kweli bibi yangu.
Na wasukuma nao si haba kwenye hako katabiaHahahaaaaa!! amekuwa mchaga tena!
Sijui Kwa nini nimehisi kuwa bibi yako ndo kakurithisha ukorofi[emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Teh!, inawezekana, maana mh!
Huyo sasa hata hakuwa mkorofi, komesha yangu alikuwa mzaa baba, yule ndio mie copy kabisa, maana baba na mama wote wapoleeeee(kama mimi)Sijui Kwa nini nimehisi kuwa bibi yako ndo kakurithisha ukorofi[emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125]
Kaumala......ya nako wanajitahidi si haba.Na wasukuma nao si haba kwenye hako katabia
Kwa kweli na ulivyo mpoleHuyo sasa hata hakuwa mkorofi, komesha yangu alikuwa mzaa baba, yule ndio mie copy kabisa, maana baba na mama wote wapoleeeee(kama mimi)
Teh!, inawezekana, maana mh!
Mniwache!! Mtoto wa watu mpoleeee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
KabisaaaaaKaumala......ya nako wanajitahidi si haba.
Nawafahamu.Kabisaaaaa
Mamii kui miss youTeh!, inawezekana, maana mh!
Kwa kweli na ulivyo mpole
Mniwache!! Mtoto wa watu mpoleeee!!
He he he sitaki mieMpole kama neno upole ni kinyume cha maana yake halisi.
Haya bhana, ndo maana nakupenda, kwa jinsi ulivyo 'mpole'
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] Ca va! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hi Kagame π
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] Ca va! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wew toto hatari na humu upoo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23]Bien, bien! π
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wew toto hatari na humu upoo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23]