Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Wakuu ebu nipeni njia za kuwapenda hao wanawake wa jf mnaowazungumzia , miaka sasa lakini hao wanawake nimeishia kuwajua kwa majina tu ambayo kwa asilimia kubwa ni fake IDs asa hapo mapenzi ndio yanatokea wapi????
 
Wakuu ebu nipeni njia za kuwapenda hao wanawake wa jf mnaowazungumzia , miaka sasa lakini hao wanawake nimeishia kuwajua kwa majina tu ambayo kwa asilimia kubwa ni fake IDs asa hapo mapenzi ndio yanatokea wapi????
Yaani Una fall in love na muandiko ndugu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi namtaka huyu!![emoji116]
 

Attachments

  • tapatalk_1492352654296.jpeg
    8.2 KB · Views: 57
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…