Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
tatzo kule kati toka muda hunifanyii manuvathanks a lot soldier!!!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatzo kule kati toka muda hunifanyii manuvathanks a lot soldier!!!!!!!!!!!
utaliwa kiboga kufatafata wake za watu chunga sana bwana mdogo jela inakuhusu cc😛olisiMimi nampenda sana Me too yaani mpaka nauguaga nikimkumbuka!
manuva ndo manini soldier? ACC yangu imegoma kufunguka.tatzo kule kati toka muda hunifanyii manuva
khaa!!!!!!!& taratibu soldier ujue nae ana mke wake.utaliwa kiboga kufatafata wake za watu chunga sana bwana mdogo jela inakuhusu cc😛olisi
Oh Pato wangu Mzee wa Old schools [emoji23][emoji23][emoji23]Kiukwel nampenda nifah na miss natafuta
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji7][emoji7][emoji7][emoji11][emoji9]Oh Pato wangu Mzee wa Old schools [emoji23][emoji23][emoji23]
One love [emoji7]
Cos there's a shining throughOh Pato wangu Mzee wa Old schools [emoji23][emoji23][emoji23]
One love [emoji7]
nenda kwenye setting then privacy zile off zote weka onm
manuva ndo manini soldier? ACC yangu imegoma kufunguka.
tatzo nina wivu juu yako my diaaaakhaa!!!!!!!& taratibu soldier ujue nae ana mke wake.
ha ha ha ha ha ha ha umenichekesha wewe, Aisee hii kweli sijaona ila nawe una moyo yaani umeena kutafuta mpaka umepata mtu alonitaja, yani ni amewaokoa wenzake kwakweli ila ngoja niangaalia mida na tarehe isije ikawa baada ya kutoa hali ya hatari lol.asmaa80 njoo hapa, kumbe kuna mtu alikutoa gundu mkuu sema hakukutag ndio maana hujaona...wana bahati sana zilibaki dk 54 kabla ya kutimia 24hrs.Bila shaka wangekiona cha mtema kuni.
ha ha ha nisamehe basi hata sijaona, namie "NAKUPENDA PIA"Nimtaja mm asmaa80 siku 2 zilizopita rajea post namba [HASHTAG]#170[/HASHTAG] kwenye huu uzi..hana gundu wapo tunamkumbuka though wiki nzima hakuingia JF
Yani kama ingekuwa nawatukana hata nisingelalamika ningekujua kosa langu ha ha ha ila nimewasamee wameokoka mana nimetajwa kumbe mara moja, hasira zimeisha lol🙂🙂Yule ulomtukana pm ulimvunja moyo hadi ulimfanya akose hamu ya kuingia jf angekuepo angekutaja endelea kuomba alog in ili akutaje [emoji32][emoji54]
Kuna mtu amewaokoa, kumbe nilitajwa🙂basi mkuu usi screenshot watu taaibika hapa...
mimi penda sana asmaa80
Hakuna kitu kizuri kama upendo..hasa ukipata bahati ya kupendwa na ww asmaa80ha ha ha nisamehe basi hata sijaona, namie "NAKUPENDA PIA"