Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Teh teh teh teh!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mtazunguka kote lakini kwenye Li viktoria na Ma almasi lazima mrudi.🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh teh!!!
Mtazunguka kote lakini kwenye Li viktoria na Ma almasi lazima mrudi.🙂
Nimekubali mama... Ntafanyaje sasa
Nimekubali mama... Ntafanyaje sasa
Abeevalentina
Jamani kui kwani lazima ugali mgumu?Now U talking, sasa ngoja nianze kukufundisha kupika ugali mgumu wa kisukuma. Ili usiwe unakaa na njaa. Wale mashosti wengine nao waanze kujiandaa.
Cc atoto na Heaven Sent
mm valentina tyu ndo napenda sanaAbee
Mama mie najua kupika chai tu inatosha, usinichoshe.Now U talking, sasa ngoja nianze kukufundisha kupika ugali mgumu wa kisukuma. Ili usiwe unakaa na njaa. Wale mashosti wengine nao waanze kujiandaa.
Cc atoto na Heaven Sent
Jamani kui kwani lazima ugali mgumu?
Chai yenyewe unaunguzaMama mie najua kupika chai tu inatosha, usinichoshe.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mama mie najua kupika chai tu inatosha, usinichoshe.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Jamani jamani utanifanya nikose msukuma humu ujue, usinifanyie hivyo.Chai yenyewe unaunguza
Hahahaaaaa!! Wa muhogo na mtama nilinawa mikono, aisee ugali kazi kuupika ule!Hata ukimbie, tena wewe ntakufunza kupika wa mtama na muhogo. 🙂
Kwani kazi ya mno ni nini ya kuhitaji huo ugali mgumu?Ugali mgumu muhimu Vale, kazi zetu si ndogo. Ugali mwepesi unaisha haraka tumboni.
Kulima.Kwani kazi ya mno ni nini ya kuhitaji huo ugali mgumu?