Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

mume wa mtu,,,,,, ni hataareeeee!!!!!! bora uangukie serenget boys.
 
Kwa kuzingatia itifaki, sitaweza kutaja ID yake, ila ki ukweli huyu mwanamke ameutesa moyo wangu mwaka wa tatu sasa, kumwambia nashindwa maana mi ni mume wa mtu.
Kwanza ana sifa pekee ya hekima, na uelewe wake ni mkubwa Sana.
Hana majivuno wala dharau yoyote.
Ni mtaratibu Sana, aisee, nadhani ameshajijua hebu naomba basi ani pm ili tuyamalize pm.
Kwa mbaaaaaaaali................. Anafanana na huyu first lady hapa chini, Kwa kimo kidogo, ucheshi na uongeaji.

Huna lolote, pepo la uzinzi tu linakusumbua. Jiheshim kidume cha mtu loooo
 
Haaahaa[emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
Appreciation haiangalii kuwa huyu kaolewa au kaoa. Unless mtu awe na mawazo tofauti. Mbona mi nakuapreshieti lakini sikuwazii yale mambo yetu[emoji12]
Sasa mwenzio ye anatamani kulala nae...
 
Back
Top Bottom