Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

HHAHA MIMII MPAKA DAKIKA HII MUPENZI WANGU YUPO JF ANANILA KUNI MEGA NA KUNIMEGUA HAHAHA NAZURURA NAYE MAGHARIBI NA MASHARIKI NA SINA MPANGO WA KUMUACHA ZAIDI NIMLOGE NIWE NYUMBANDOGO YA KUDUMU KIKIKI..................... NISHAAAMBIWA NIPELEKE NYWELE ZA KILA KONA YA MWILI WAKE NDO NAMVIZIA AKIJISAHAU TU KAUMIA
Uko vizuri kamatia chini, kamatia chini..?
 
Bado kwa thread na comments hizi kuna wadada watakubali kuchubuliwa😉😉

Ila wanaojitambua hamuwapati teeena,,hehe
usinifikirie hivyo kama alivyosema mleta uzi [emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
usiogope mkuu ,samaki mmoja akioza unamchomoa unamtupa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.

Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.

Mwenzangu funguka na wewe..!
IMG_20171020_164715.jpg


[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
[emoji3][emoji3]

Shemela...kwema?
 
Hv had jamii forum unaweza kutongoza daa mkuu nifundishe na mm
Kutongoza sawa na michezo ya watoto wadogo unaanzia mbali utakuta umefikia lengo bila ata kujua umelifikiaje..!
 
Wanaonizunguka katika shughuli zangu za kila siku tu sijawamaliza je wa JF ambao naishia kuona DP zao nitawaweza kweli??? Itokee tu pasipokupanga ila sijafikiria kung'oa kimwana JF, honestly.
 
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.

Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.

Mwenzangu funguka na wewe..!
Hivi mdada anayetongozwa namna gani ataonekana amefanikiwa? Nina shaka na heading yako!
 
Sijawahi kuwa interested na mwanamke humu...kuna mmoja nimewahi kukuta kaweka avatar ya mtu ninayemfaham nikamfuata PM nikaanza kumuuliza maswali ya kidadisi nikagundua sio yeye so kuna kafeeling ninacho kuhusu hawa wanawake,either ni vibungo au wanaume wanajifanya wanawake...raha ya kutongoza uwe tayari ushapata motisha kwakuuona mzigo live.
 
Hivi mdada anayetongozwa namna gani ataonekana amefanikiwa? Nina shaka na heading yako!
Utakuwa small brain wewe..! Unadhani wadada hawana upendeleo wao na wanaume wanao wapenda na unadhani hawafanyi jitihada za kijitongozesha kimtindo.. Labda wewe huna swaga na kitu cha kuwavutia..!
 
Back
Top Bottom