Uko vizuri kamatia chini, kamatia chini..?HHAHA MIMII MPAKA DAKIKA HII MUPENZI WANGU YUPO JF ANANILA KUNI MEGA NA KUNIMEGUA HAHAHA NAZURURA NAYE MAGHARIBI NA MASHARIKI NA SINA MPANGO WA KUMUACHA ZAIDI NIMLOGE NIWE NYUMBANDOGO YA KUDUMU KIKIKI..................... NISHAAAMBIWA NIPELEKE NYWELE ZA KILA KONA YA MWILI WAKE NDO NAMVIZIA AKIJISAHAU TU KAUMIA
usinifikirie hivyo kama alivyosema mleta uzi [emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]Bado kwa thread na comments hizi kuna wadada watakubali kuchubuliwa😉😉
Ila wanaojitambua hamuwapati teeena,,hehe
guiness inakuhusu[emoji3][emoji3][emoji3]ndugu mimi nimetongoza mala.34 lakin cjafanikiwa
usiogope mkuu ,samaki mmoja akioza unamchomoa unamtupa[emoji3][emoji3][emoji3]Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.
Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.
Mwenzangu funguka na wewe..!
Upo
[emoji3][emoji3]Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Sijawahi ata kum Pm mtu ila kuna tabasamu la MTU flani linanishawishi tatizo inaweza kuwa ni avatar tu
Hivi mdada anayetongozwa namna gani ataonekana amefanikiwa? Nina shaka na heading yako!Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.
Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.
Mwenzangu funguka na wewe..!
Mimi sijawahi pata tangu nidhamirie kupata mke humuKutongoza siyo kutiana boss..! Kumtongoza mwanamke ni hatua ya awali kabisa kabla ya kuonana mkishindwana kwani kuna shida gani?
Utakuwa small brain wewe..! Unadhani wadada hawana upendeleo wao na wanaume wanao wapenda na unadhani hawafanyi jitihada za kijitongozesha kimtindo.. Labda wewe huna swaga na kitu cha kuwavutia..!Hivi mdada anayetongozwa namna gani ataonekana amefanikiwa? Nina shaka na heading yako!