Funika kioo wakati wa kulala usiku

Funika kioo wakati wa kulala usiku

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
1. Wachawi ukitumia kioo pale ambapo kitakuwa wazi usiku uchukua sura yako na kuenda kuitumikisha kiuchawi. Kwahiyo usishangae mtaani wakawa wanakunyoshea vidole/kidole wakishemezena ujue yule mmama/baba/kaka/dada mchawi kumbe unatumika kiuchawi na we hujijui kisa kioo kukiacha wazi usiku.

2. Kuweni makini na kioo mwisho msijekutwa na majanga maana wananchi awasikilizi ausee afu unakuta kweli we ujui chochote kuhusu ushirikina.

3. Pia kioo kulala wazi sio vizuri mauza uza yanaweza kutokea ata kama awatokutumia kiuchawi..(hurusiwi kujiangalia kwa kioo usiku.

Imeandaliwa na kimodomsafi
 
Wanasema kepitoz ni kufokea, ingawa mi huwa nadhani ni ama changamoto za kutumia keyboard au ndo janga la Elimu yetu.

Sijui lipi ni sahihi kwa hapa!
 
Kioo kikubwa kinatoka ceiling mpaka sakafuni kinatazamana na kitanda changu na mimi nalala mwanana kama mtoto bila uza lolote. Imani nzuri kwa Mwamba Yesu Kristo inatosha.
 
Write your reply...Ambao hata hatuna hivyo vioo huu Uzi hautuhusu
 
Kama wachawi wanaweza kufanya "clone" basi waiweke wazi hiyo sayansi tupate ujiko TZ!
 
Back
Top Bottom