Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funika wakati wa kulalaDuh
Kitanda kinaface kabati.. nikiamka kwenda kususu lazima nionane na kioo
Sa itakuwaje?
AiiiiFunika wakati wa kulala
Kuna ukweli hapa ila wajinga na wapumbavu watapuuza1. WACHAWI UKITUMIA KIOO PALE AMBAPO KITAKUWA WAZI USIKU UCHUKUA SURA YAKO NA KUENDA KUITUMIKISHA KIUCHAWI. KWAHIYO USISHANGAE MTAANI WAKAWA WANAKUNYOSHEA VIDOLE/KIDOLE WAKISHEMEZENA UJUE YULE MMAMA/BABA/KAKA/DADA MCHAWI KUMBE UNATUMIKA KIUCHAWI NA WE HUJIJUI KISA KIOO KUKIACHA WAZI USIKU.
2. KUWENI MAKINI NA KIOO MWISHO MSIJEKUTWA NA MAJANGA MAANA WANANCHI AWASIKILIZI AUSEE AFU UNAKUTA KWELI WE UJUI CHOCHOTE KUHUSU USHIRIKINA.
3. PIA KIOO KULALA WAZI SIO VIZURI MAUZA UZA YANAWEZA KUTOKEA ATA KAMA AWATOKUTUMIA KIUCHAWI..(HURUSIWI KUJIANGALIA KWA KIOO USIKU.
Imeandaliwa na Kimodomsafi
Sheria kifungu cha ngapi...kutumia kepitoz ni utaratibu tu so kufokea wewe ndo utahisiWanasema kepitoz ni kufokea, ingawa mi huwa nadhani ni ama changamoto za kutumia keyboard au ndo janga la Elimu yetu.
Sijui lipi ni sahihi kwa hapa!
Ahsante kwa Ilmu Kiongozi tunalala kwa Duah1. WACHAWI UKITUMIA KIOO PALE AMBAPO KITAKUWA WAZI USIKU UCHUKUA SURA YAKO NA KUENDA KUITUMIKISHA KIUCHAWI. KWAHIYO USISHANGAE MTAANI WAKAWA WANAKUNYOSHEA VIDOLE/KIDOLE WAKISHEMEZENA UJUE YULE MMAMA/BABA/KAKA/DADA MCHAWI KUMBE UNATUMIKA KIUCHAWI NA WE HUJIJUI KISA KIOO KUKIACHA WAZI USIKU.
2. KUWENI MAKINI NA KIOO MWISHO MSIJEKUTWA NA MAJANGA MAANA WANANCHI AWASIKILIZI AUSEE AFU UNAKUTA KWELI WE UJUI CHOCHOTE KUHUSU USHIRIKINA.
3. PIA KIOO KULALA WAZI SIO VIZURI MAUZA UZA YANAWEZA KUTOKEA ATA KAMA AWATOKUTUMIA KIUCHAWI..(HURUSIWI KUJIANGALIA KWA KIOO USIKU.
Imeandaliwa na Kimodomsafi
1. WACHAWI UKITUMIA KIOO PALE AMBAPO KITAKUWA WAZI USIKU UCHUKUA SURA YAKO NA KUENDA KUITUMIKISHA KIUCHAWI. KWAHIYO USISHANGAE MTAANI WAKAWA WANAKUNYOSHEA VIDOLE/KIDOLE WAKISHEMEZENA UJUE YULE MMAMA/BABA/KAKA/DADA MCHAWI KUMBE UNATUMIKA KIUCHAWI NA WE HUJIJUI KISA KIOO KUKIACHA WAZI USIKU.
2. KUWENI MAKINI NA KIOO MWISHO MSIJEKUTWA NA MAJANGA MAANA WANANCHI AWASIKILIZI AUSEE AFU UNAKUTA KWELI WE UJUI CHOCHOTE KUHUSU USHIRIKINA.
3. PIA KIOO KULALA WAZI SIO VIZURI MAUZA UZA YANAWEZA KUTOKEA ATA KAMA AWATOKUTUMIA KIUCHAWI..(HURUSIWI KUJIANGALIA KWA KIOO USIKU.
Imeandaliwa na Kimodomsafi
Kabati iko chumbani unakolala au ? Kama iko chumbani funika na kitambaa. But sijatoa uzi huu kwa watu wote.Aiiii
Kabati unafunikaje?
?? 😂 😂Stress for what😎