Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Tupo wengi kwa kweli[emoji23][emoji23]Duh
Kitanda kinaface kabati.. nikiamka kwenda kususu lazima nionane na kioo
Sa itakuwaje?
Kama sio mshirikina endelea na maisha yako, usiwe na khofu kwa mambo ya kipuuzi kama hayo!! Washirikina wajinga sana, pumbavu zao!!!Duh
Kitanda kinaface kabati.. nikiamka kwenda kususu lazima nionane na kioo
Sa itakuwaje?
Sawa na popo bawa anapatikana kusini mwisho mbagara tu ila sijawai kusikia yupo posta wala sinzaUjinga tu, Kwani huyo mchawi hawezi kuja na kioo chake hadi ategemee kioo chako???