Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ww ulikuwa mtoto wa mazaa
 
Kama mtu haeleweki achana nae
Haya mambo ya kulazimishana mapenzi hadi kufikia kuuana ni ya kishamba na kishetani

Mungu atupe macho na masikio ya ndani kuelewa sehemu zisizotufaa
Ni matukio ya kawaida kwenye jamii
 
Bongo ugomvi wa ukabila hauwezi tokea maan kuna makabira zaidi ya 100 ttzo linakuja mnapokua na vikabila viwili au vitatu kama Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]sema Neema ameamua kukiungurumisha kudadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi itoshe kusema wachaga waoane wenyewe kwa wenyewe au watinduane wenyewe kwa wenyewe
 
Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Uoga wako tuu hakuna wanawake pisi kama wachaga kama ukiaeza kuishi nao vizuri maana wakipenda wanapenda kweli
 
Si wanadai amina alikuwa ameungua?
 
Wajaribu wote. Ila hakikisha hauwahiwi na petrol
Aaah wee! nina experience na mmoja ila nilivyosoma comment ya huyo jamaa nikashangaa sana kwa nini hawawezi, labda kuna tatizo la kimaumbile......iweje makabila mengine waweze wao washindwe...
 
Uzinzi ni dhamb , siyo kosa kisheria za Tanzania.
Mshahara wa Dhambi ni mauti , tumeona amechomwa, labda alitubu wakati anaungua.

wanaume muache kutuuumza, tukisema kitu mtusikilize.
Wewe unaye endelea kila ukionywa unacheza na vi-chululuu vya watoro wa watu siku zako zinahesabika.
 
Kuna mdau mmoja kasema mademu wa kichaga hawawezi doggy style, je, lina ukweli hili? na kwa nini?
Huenda wanajiheshimu sana na wakiolewa wanatunza siri za ndoa zao tofauti na sis watu wa porini huku mikoa maskini, tunatoa siri za ndoa zetu na ndio maana hatuheshimiki.
Huyi jamaa aliyekwambia ni mbea kuliko mwanamke muuza baa, na wewe ni zaidi ya baa medi maana wote mlikuwa mnapiga story za kike , tena za kimbea.
 
Mzee jibu swali, kama hujui tulia wengine watakuja....ya nini kuwashwa washwa...
 
Mzee jibu swali, kama hujui tulia wengine watakuja....ya nini kuwashwa washwa...
nyie ndio mnakunwa na akina Mushi mnaanza kulia lia hapa, umeso a nlicho andika, unafikiri hili jukwaa ni lakwanza A? kwamba ukiuliza moja na moja uambiwe ni mbili?
 
Noma saana asee...kama nataman kuskia zaidi ...
 
Umehukumu upande mmoja. Je unajuaje kama Gilesi naye hakuwa mwaminifu?, hakuwa na lugha ya staha kwa bungu?, unajua ni sababu ipi iliyomfanya zungu acheat?

Wanawake wa sasa naamini unawatambua vzr. Hakuwa na sababu ya kumpa adhabu kali kiasi hicho. Kama zungu angekuwa ndg yangu basi Neema angeishuhudia yale maandiko ya kila aangamizaye kwa upanga ataangamia kwa upanga.

Neema au Gilesi alitakiwa kupewa adhabu ambayo hata punje ya mwili au kiungo chake kisingeonekana na binadamu yoyote yule.
 
atafunguliwa mashtaka, akiwa gerezani ataokoka na mbing iyamhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…