Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Sasa kama ni mchaga watu wasiseme??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hua kikiumanika ni kwa wote mkuu,hakuna cha mchaga, mrangi, mnyaturu au mzigua.
Watu wameua zeruzeru,wengine mama zao,wengine bibi vikongwe.

Hayo masuala ni individual.
Yaani hata wewe unaeza kuumanishwa ukimzingua mkeo

Sema kimeumanika 😀😀😂
 
Mi ndugu zangu kwa upande wa baba wameoa Wachaga na sasa hadi wana Wajukuu mkuu.

Mimi mwenyewe nina mchumba mchaga wa Machame. Very humble and God-fearing....kuna siku nitamleta humu JF.
Kama ambavyo siku utakayomleta humu jf na iko siku utalia na kusaga meno au hata hiyo nafasi ya kulia usipate waje walie ndugu zako. Usimuoe huyo
 
Kwa nini wanawake wakichaga wanasifika vibaya ila huwezi sikia mwanaume wa kichaga ana sifa mbovubovu hapa TZ. What is wrong with some Chagas wemen?
 
Nianze kwa kulaani kitendo alichofanya huyu Grace, cha kumuua mpenzi wake kwa kumteketeza kwa moto. Ni kitendo cha kinyama sana.

Funzo:
Mwanaume kiasili hawezi kubaki na mke au mpenzi mmoja, kama kuna wanawake hawajui hili wana matatizo yao binafsi. Mwanaume anaweza kubaki na mke au mpenzi mmoja, lakini hilo linategemea jitihada za huyo mwanamke mwenyewe......kwa maana nyingine mwanamke ndo ana influence mwanaume abaki na yeye na asiende kwengine......hakuna haja ya kufanya ubabe hapo.
 
Heheheheh mwamba hii kama TATEPA flani sema freshi 😅😅😅tunaishi nayo
Hiyo ni real mkuu,nimekumbuka ikawa nacheka tu.hao wote na mimi tulikua watoto wa mjini.
Huyo dogo alikua Mario wa Amina Chifupa,akihongwa nae anahonga kwa wife,
Wife ndo ile umeacha hela ya Maharage unakuta la tilapia mezani.
Sasa hapo unauliza nini tena
 
Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna binti wa kichaga anaitwa kimaro unasababisha niairishe kuoa
 
Hiyo ni real mkuu,nimekumbuka ikawa nacheka tu.hao wote na mimi tulikua watoto wa mjini.
Huyo dogo alikua Mario wa Amina Chifupa,akihongwa nae anahonga kwa wife,
Wife ndo ile umeacha hela ya Maharage unakuta la tilapia mezani.
Sasa hapo unauliza nini tena
Hahahahah hapo kweli patamu, kwahio ukamsusia mazigo na gharama za kumtunza kwa biti kuwa utamwaga tope akizingua af ukawa unaimega kisela bila bi mkubwa kujua 😅😅😅
 
Kuna demu nlikua nataka kupiga na kusepa lakn kaning'ang'ania, miez minne mi simtafuti ila ananitafuta yeye na hata nikimkosea mimi msamaha anaomba yeye, nilishamtaftia kosa la kumuacha lakn sipati, sahiv had naogopa kumwambia tuachane naona anaweza kuja kunichomea Moto ndani
 
Nilikua nae tukachumbiana na mimba juu,sijui hata alibadirika wapi?mara ya kwanza polisi O bay kanipeleka yeye,ya pili yeye,ya tatu nikaruka ukuta nikakimbia polisi wapo hapo wanasubiri wanipeleke mahabusu,waliniona na taulo wakajuahaendi kokote nikawaambia naenda kukojoa then tuondoke,aah huko huko nikalala mbere.
Nikala dcm la gongo la mboto km kichaa,kifua wazi kondaanauliza nauli nikamsimulia mkasa mzima dah akanambia poa mwana rudi kwenu huyo demu atakuua.
Nimefika home na taulonagonga naingia mazaananiona we vp tena,namwambia nimewatoroka polis,kisa namwambia mwanamke kadai nimempiga na kumtishia maisha.
Maza anauliza umefanya hivyo no sijafanya visa tu.
Maza mtu mpole ila ni mjeshi,akasema lala pumzika kesho tunamuibukia.
Ajabu kesho yake mapema tu demu huyu hapa home,kaja kushtaki kaongea pale weeh kalia sijui nini usanii mtupu,maza akaniuliza unamskia mwenzio?nikamwambia mwongohuyu,
Utaendelea naye ama uppge chini hapa hapa.
Demu hapo kapiga magoti nisamehe nisamehe.
Mi ikabidi ok narudi nae home ,tukasuluishwa yakaisha. Na nikaamua nimtoe kino nimuamishie kigogo huko maana labda maisha kino yamnamzingua,kuhama kigogo mimba hiyo,kaanza tena visa siku nashangaa tu nimerudi mzigo naiti kali niko mbonji nashtuliwa na maafande,vp? Naambiwa una kesi kutishia kuua mama na mtoto tumboni dah mimi? Eeh nikapigwa Pingu ndani post pale kigogo.
Badae sana polisi wakaomba mlungula wanitoe nikawaambia sina labda nikakope,
Twende tukusindikize[emoji38][emoji28][emoji28]
Nikaenda na polisi kukopa niwahonge,
Anyway pale home kulikua na mpangaji mwenzangu mmaza mmoja wa kihaya nilikua nampa hela aniwekee kwa ivyo tulivofika home nikajifanya nikopeshe 10k akanipa nikawapa wakatimka.
Hata ndani sikuingia huyo mpk gomz kwa maza.
Maza akasema sasa hurudi tena kule na akija hapa huyo malaya ntadeal nae.
Anza upyaa maisha.
In serieos note niliacha kila kitu nikapanga uswazi huko mtoni kwa AzizAlli ili tu tusionane.
In shot sasa kafulia,ila kanizalia kijana ana miaka 18 sasa,eti anaomba turudiane [emoji41][emoji1][emoji1] .
Ukimuona ni mwanamke pisi haswa toka miaka hiyo mpaka sasa anazeeka ni mrembo wa haja.
yani mtu anakupeleka had polisi unan'gan'gania nae tu,itakuwa ulilishwa limbwata.Yani ukinipeleka polisi tu jua hyo ndio sku ya mwisho mm na ww kukaa pamoja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani huyu kijana simmalizi. Kapanga geto hapo makumbusho. Nilishangaa kukutana naye. Tumesoma wote chuo kimoja. Eti alisikiaga nna hela sana akaanza niombisha nyimbo na anajua mshkaji wake alikua bf wangu. Nikaenda mtukana huyo ex wangu na huyu jamaa wake. Maana namba ametoa kwa ex wangu. Basi mtaji wake ndo hilo dudu lake labda itakua na ulimi. Yaan anawachunaaa Mungu wangu. Kama hajatumiea jini la ajali siku sijui. Na ningelioenda maybe lingenichuna sana maybe ni vile ninachagua sana. Yaan we falaaaaa moto wako unakujaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe ulitaka umkubalie
 
Back
Top Bottom