Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna demu nlikua nataka kupiga na kusepa lakn kaning'ang'ania, miez minne mi simtafuti ila ananitafuta yeye na hata nikimkosea mimi msamaha anaomba yeye, nilishamtaftia kosa la kumuacha lakn sipati, sahiv had naogopa kumwambia tuachane naona anaweza kuja kunichomea Moto ndani
yes kabla ya ndoa wako hivyo. funga naye ndoa sasaMi ndugu zangu kwa upande wa baba wameoa Wachaga na sasa hadi wana Wajukuu mkuu.
Mimi mwenyewe nina mchumba mchaga wa Machame. Very humble and God-fearing....kuna siku nitamleta humu JF.
[emoji23][emoji23][emoji23] watanzania hupenda watu wanafiki mie Sina shida na mtu ni Kama nyuki wa machine Sina madhara kabisaHakuna mwanamke wife material kama wewe mamito. Watu wanajudge kutokana na michango yako ambayo ni ya kuburudisha tu. I know you
Acha kujiendekeza...usiruhusu maisha yako kuwa mikononi wa binadamu mwingine, matokeo yake ndo haya!Bata bila mpenzi haliendi bana !!!
Wanaume:kama una girlfriend au mke mchagga kuwa makiniHuwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa😄😄😄😄😄😄
We fala ndio umeona uje kuelezea shida zako humu jukwaani ninao watembezea moto na dudu langu wanajua y wanaaacha chenji na nakuja whatsup tuongee vizuri sikubaki[emoji23][emoji23][emoji23] yaani huyu kijana simmalizi. Kapanga geto hapo makumbusho. Nilishangaa kukutana naye. Tumesoma wote chuo kimoja. Eti alisikiaga nna hela sana akaanza niombisha nyimbo na anajua mshkaji wake alikua bf wangu. Nikaenda mtukana huyo ex wangu na huyu jamaa wake. Maana namba ametoa kwa ex wangu. Basi mtaji wake ndo hilo dudu lake labda itakua na ulimi. Yaan anawachunaaa Mungu wangu. Kama hajatumiea jini la ajali siku sijui. Na ningelioenda maybe lingenichuna sana maybe ni vile ninachagua sana. Yaan we falaaaaa moto wako unakujaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Au tutalala na kindoo cha mchanga ka vituo vya mafuta wanavyofanyaKuna masela wanasema wataanza kutembea na fire extinguisher, kariakoo saa hizi fire extinguisher hazikamatiki bei.......ama kweli mpalestina kaleta sokomoko..
[emoji23][emoji23][emoji23] kwiiooWe fala ndio umeona uje kuelezea shida zako humu jukwaani ninao watembezea moto na dudu langu wanajua y wanaaacha chenji na nakuja whatsup tuongee vizuri sikubaki
Njoo mlimani hapa unywe kinywaji basi kwa pesa za shosti zako[emoji23][emoji23][emoji23] kwiioo
Mchaga haachiki kirejareja🤣Kaka yake Zungu amesema siku tatu nyuma alimuomba Grace waachane kwani hapo kosa li wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Situmii kilevi mkuu. Halaf hayo maisha nikishayapotezea kitambo sana.Njoo mlimani hapa unywe kinywaji basi kwa pesa za shosti zako
Mbona tukifulia mnatuacha, nyinyi nani msiachwe...Mchaga haachiki kirejareja🤣
Roro yake imeridhika,kuliko kumuona zungu anafunga ndoa na mwingine ilhali alishampotezea time ni bora walivyobadilishana majengo ya serikali ili iwe fundisho kwa wengineNipe faida 2 tu atakazopata Neema binafsi kwa kitendo alichofanya nami nitakuunga mkono.
Niuzie hiyo imprezza uliyoipata kwa kuwachuna hao masista duu urudi kulima mahindi kibaigwa.Mkuu umeamua kuja kunipiga vijembe Hadi huku?!!!
Ila sawa bana haina noma
Napanga kujiandikisha polisi jamii, usiku mzima niwe natumia kwenye lindo.....Au tutalala na kindoo cha mchanga ka vituo vya mafuta wanavyofanya