πππππUjumbe, vijana waache kudanga.
Kuna kijana aiashi makumbusho hapo, ana subaru impreza na forester. Anadanga kupita maelezo. Ni ana mademu kama wote. Yaan haya yote anayomiliki ni kutokea migukoni mwa wanawake anaowarubuni. Chalii yangu kiama chako chajaa[emoji23][emoji23] na anajisifiaga balaaa anawadanga. Iko siku
Unapumulia mashne. Wanabadirikaga kwa sekunde tuu. Wewe subiri utaja sumulia. (Opportunists) hacha kabisaMi ndugu zangu kwa upande wa baba wameoa Wachaga na sasa hadi wana Wajukuu mkuu.
Mimi mwenyewe nina mchumba mchaga wa Machame. Very humble and God-fearing....kuna siku nitamleta humu JF.
Hawa wanawake hawatuelewi. Inabidi tuliubiri hili jambo kwa undani. SISI NI WA WOTE MPAKA SHAAWA ZIISHESisi wanaume ni wa wote. In voice of Chalamila
Sasa hawa wanaodangwa subaru foester na imprezza wanasubiri nini kuwasha petroli......mbona sisi wanaume tumedangwa karne nyingi lakini bado hatujawahi hata kufikiri kuwasha kiberiti...πππππ
Mkuu mapenzi ni nusu uchiziSasa hawa wanaodangwa subaru foester na imprezza wanasubiri nini kuwasha petroli......mbona sisi wanaume tumedangwa karne nyingi lakini bado hatujawahi hata kufikiri kuwasha kiberiti...
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wee acha tu, uzi huu unatutia hasira sana mapoti kutoka kule Mara, yaani mwanaume unarara hadi unapigwa kiberiti na mwanamke.........Mkuu mapenzi ni nusu uchizi
Nuzulati hivi ni mpaka nikanunue kidumu cha petrol namimi π π π tambua tu nakuhusudu sanaMkuu mapenzi ni nusu uchizi
Tet teh mimi tambua ukija kunizingua yatakukuta zaidi ya Neema ππNuzulati hivi ni mpaka nikanunue kidumu cha petrol namimi π π π tambua tu nakuhusudu sana
πππππππ ili kuimarisha ulinzi magetoni ni lazima tuwe na mitungi ya fire extinguisherKuna masela wanasema wataanza kutembea na fire extinguisher, kariakoo saa hizi fire extinguisher hazikamatiki bei.......ama kweli mpalestina kaleta sokomoko..
Ni kweli mabinti kichaga wanaolewa sana. Wanawake wa kichaga wanajua kuonyesha thamani ya mahusiano wanapokuwa bado ni wapenzi au wachumba. Wanajua kustruggle na hivyo wanakuwa siyo wapiga mizinga kama waschana wengi walivyo. Mtoto wa kichaga akikupenda atakununulia zawadi kadha wa kadha kwa hela zake. Yanayotokea kwenye ndoa ni ya kusikitisha sana.Hivi eeee!?
Halafu hao ndio wanaoolewa sana, niliwahi fanya ka research ka mahusiano serious nilishangaa wadada wengi wa kichaga wanapoingia kwenye mahusiano yanaishia ndoa
Nikachungulia harusi zinazofungwa kwenye kumbi tofauti nikakuta nyingi ya hizo zina wanawake wa kichaga.
Sasa ngoja nikachungulie hilo ulilosema la kupumulia mashine hapo nitarudi
Sikuzingui asilani mie nataka penzi letu liwe pepo ya duniani! Tutalamba Glucose mpaka kieleweke hakuna kuchokana wala kusalitiana πππTet teh mimi tambua ukija kunizingua yatakukuta zaidi ya Neema ππ
Hii ya kwenye gari langu nimeanza kulala nayo, naiweka mvunguni...πππππππ ili kuimarisha ulinzi magetoni ni lazima tuwe na mitungi ya fire extinguisher
Mabinti wa kichaga ni hodari wa kumpeleka mwanaume kwenye ndoa.Mi ndugu zangu kwa upande wa baba wameoa Wachaga na sasa hadi wana Wajukuu mkuu.
Mimi mwenyewe nina mchumba mchaga wa Machame. Very humble and God-fearing....kuna siku nitamleta humu JF.
Kabisaaaah.Humu duniani kuna raha nyingi sana...jipende mwenyewe, tafuta pesa, kula bata..life goes on
Pole mkuuUjumbe, vijana waache kudanga.
Kuna kijana aiashi makumbusho hapo, ana subaru impreza na forester. Anadanga kupita maelezo. Ni ana mademu kama wote. Yaan haya yote anayomiliki ni kutokea migukoni mwa wanawake anaowarubuni. Chalii yangu kiama chako chajaa[emoji23][emoji23] na anajisifiaga balaaa anawadanga. Iko siku
Ukweli wenyewe ndo huu.Ujumbe, vijana waache kudanga.
Kuna kijana aiashi makumbusho hapo, ana subaru impreza na forester. Anadanga kupita maelezo. Ni ana mademu kama wote. Yaan haya yote anayomiliki ni kutokea migukoni mwa wanawake anaowarubuni. Chalii yangu kiama chako chajaa[emoji23][emoji23] na anajisifiaga balaaa anawadanga. Iko siku