Funzo kutoka Kenya: Katiba mpya au Tume huru sio suluhu ya uchaguzi wa Amani!

Funzo kutoka Kenya: Katiba mpya au Tume huru sio suluhu ya uchaguzi wa Amani!

Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
SAHIHISHO:
Mkuu wa Tume wa wakati huo, Marehemu KIVUITU hakutangazia wala kutolea MATOKEO ya UCHAGUZI mkuu wa nchi hiyo akiwa IKULU.

Hapo ingekuwa ni MBAYA zaidi katika USO wa KIMATAIFA. Matokeo yalitangaziwa jumba la mikutano na KICC likiwa limezungukwa na maaskari .

Na Ndipo baadaye sherehe za kuapishwa kwa KIBAKI zikafanyika jioni kati ya Saa 12 :30 na saa MOJA za jioni moja.
PILI:
KATIBA mpya ina UZURI wake pia, hasa IKIANGALIWA na kuondoa yale yasiyofaa KUWEMO katika katiba kama hii tunayoilililia maana ina MAZURI na mengine ni UNIMPLEMETABLE/YASIYOWEZA KUTEKELEZEKA kulingana na hali ya UCHUMI wetu jinsi ulivy nk.
. Hivyo basi inahitaji kurekebishwa ili IRIDHISHE WATANZANIA wote wa VYAMA vyote na wala si UPINZANI ama Chama TAWALA peke yake.
Marekani wamebadiri katiba mara 27 tangu wapate UHURU.
Tume HURU si jambo baya kama itaongeza KUKUZA DEMOKRASIA yetu na kuleta IMANI kwa wapiga kura wa vyama vyote husika.
 
SAHIHISHO:
Mkuu wa Tume wa wakati huo, Marehemu KIVUITU hakutangazia wala kutolea MATOKEO ya UCHAGUZI mkuu wa nchi hiyo akiwa IKULU.

Hapo ingekuwa ni MBAYA zaidi katika USO wa KIMATAIFA. Matokeo yalitangaziwa jumba la mikutano na KICC likiwa limezungukwa na maaskari .

Na Ndipo baadaye sherehe za kuapishwa kwa KIBAKI zikafanyika jioni kati ya Saa 12 :30 na saa MOJA za jioni moja.
PILI:
KATIBA mpya ina UZURI wake pia, hasa IKIANGALIWA na kuondoa yale yasiyofaa KUWEMO katika katiba kama hii tunayoilililia maana ina MAZURI na mengine ni UNIMPLEMETABLE/YASIYOWEZA KUTEKELEZEKA kulingana na hali ya UCHUMI wetu jinsi ulivy nk.
. Hivyo basi inahitaji kurekebishwa ili IRIDHISHE WATANZANIA wote wa VYAMA vyote na wala si UPINZANI ama Chama TAWALA peke yake.
Marekani wamebadiri katiba mara 27 tangu wapate UHURU.
Tume HURU si jambo baya kama itaongeza KUKUZA DEMOKRASIA yetu na kuleta IMANI kwa wapiga kura wa vyama vyote husika.
mkuu...hii kumbukumbu yako ni ya kweli?
lakini tunakubaliana kuwa jamaa alitangazwa na kuapishwa chap chap
 
mkuu...hii kumbukumbu yako ni ya kweli?
lakini tunakubaliana kuwa jamaa alitangazwa na kuapishwa chap chap
Ni kweli. Ila pia nakubaliana nawe kuwa aliapishwa haraka haraka.
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Huyo shetani aliyekutuma anaitwa nani?
 
No. Katiba mpya ni SUMU ya uchaguzi wa amani. Mshindwa ni Mshindwa tu, kama huna Katiba mpya anapata kisingizio, lakini hatofanya fujo zaidi ya kutaka kulala mita 200 au sabasaba kushabikia wasichana wapewe mimba. Ukimpa katiba mpya na bado AKASHINDWA sasa hana kidingizio, amani hutoweka. WM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia mimi sidhani kama kunaweza kuwepo na tume huru ya uchaguzi. Hiyo ni kwa sababu sidhani kama watu wanaoiunda hiyo tume wanaweza wasiwe kabisa na upendeleo wa vyama.

Naamini mioyoni mwao lazima tu watakuwa wanapendelea upande flani.

Lakini, licha ya kwamba tume ya uchaguzi ya Tanzania si huru [kwa sababu inaundwa na rais aliyeko madarakani na mpaka sasa wote wamekuwa ni wenyeviti wa CCM], mimi naamini kuwa uwepo si mwarobaini wa matatizo yetu ya chaguzi.

Kwa Tanzania bara, naamini kuwa hata ingekuwepo hiyo tume huru, CCM bado ingekuwa inashinda tu kwa sababu vyama vya upinzani havijielewi na ni dhaifu sana. Pia havina dira wala mwelekeo wowote ule. Mtu hujui hata vinasimamia nini.
Vyama vya upinzani kazi ni mtongozano tu na walimbwende na kuwaingiza kwenye viti maalumu,kama wanafanya mambo ya hovyo kwa kupewa madaraka kidogo tu sasa wakipewa nchi si ndio watalewa madaraka kabisa,Tanzania hatuna upinzani,tuna washerehekeshaji tu wa upinzani
 
Umesema kuwa katiba mpyà na tume huru so suluhisho la free and fair election, lakini hujatoa hatua mbadala kama suluhisho.
 
Kiuhalisia mimi sidhani kama kunaweza kuwepo na tume huru ya uchaguzi. Hiyo ni kwa sababu sidhani kama watu wanaoiunda hiyo tume wanaweza wasiwe kabisa na upendeleo wa vyama.

Naamini mioyoni mwao lazima tu watakuwa wanapendelea upande flani.

Lakini, licha ya kwamba tume ya uchaguzi ya Tanzania si huru [kwa sababu inaundwa na rais aliyeko madarakani na mpaka sasa wote wamekuwa ni wenyeviti wa CCM], mimi naamini kuwa uwepo si mwarobaini wa matatizo yetu ya chaguzi.

Kwa Tanzania bara, naamini kuwa hata ingekuwepo hiyo tume huru, CCM bado ingekuwa inashinda tu kwa sababu vyama vya upinzani havijielewi na ni dhaifu sana. Pia havina dira wala mwelekeo wowote ule. Mtu hujui hata vinasimamia nini.
Kinachofanya msilale usingizi ni nini kama mnaepambana nae ni dhaifu?
Mmeweka vikwazo kila kona ama kweli siku hizi kuna aina mpya ya unafik.
Tufanye hivi ili kutenda haki kambi ya upinzani bungeni iwe inateua tume ya uchaguzi,mkikubali hili nawapa hongera zenu.
 
No. Katiba mpya ni SUMU ya uchaguzi wa amani. Mshindwa ni Mshindwa tu, kama huna Katiba mpya anapata kisingizio, lakini hatofanya fujo zaidi ya kutaka kulala mita 200 au sabasaba kushabikia wasichana wapewe mimba. Ukimpa katiba mpya na bado AKASHINDWA sasa hana kidingizio, amani hutoweka. WM

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh???? Nini hiki??
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Jina limekukaa vyema sana hebu sasa shona na suti upendeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Jina limekukaa vyema sana hebu sasa shona na suti upendeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mpewe katiba ya marekani au India mtalalamika tu nyie.Tunakwenda hivi hivi,mlipewa nafasi mkaichezea kwa kususa.Kwa sasa kipaumbele ni viwanda na miundombinu sio katiba
Mtaji wa CCM ni masikini na mambumbumbu..ndio maana hawataki kuondoa umasikini mikoa ya Mwanza.Dodoma.Tabora.Singida.Shinyanga.Kigoma nk..na ndio sehemu wanapata kura nyingi...upinzani kawekeni kambi hayo maeneo..
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Suruhisho ni nini au kipifanyike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa linaloongoza kuwa huzuni hili, na kwa mada kama hizi ni haki tusiwe na furaha. Lakn nikushukuru kwa kukiri kwamba tume sio huru
 
tangu siku ile prof kabudi alivyofafanua kuna nchi hazina sio tu katiba mpya bali hazina katiba kabisa na maisha yao yanakwenda mfano uingereza,israel,new zealand na Canada nilijufunza katiba sio mwarobaini wa matatizo ya mtanzania wakati wote.
mkuu hakuana nchi ambayo haina katiba ila ni kuwa kuna katiba za kuandikwa na wengine wanakatiba ambazo hazijaandikwa
 
Kiuhalisia mimi sidhani kama kunaweza kuwepo na tume huru ya uchaguzi. Hiyo ni kwa sababu sidhani kama watu wanaoiunda hiyo tume wanaweza wasiwe kabisa na upendeleo wa vyama.

Naamini mioyoni mwao lazima tu watakuwa wanapendelea upande flani.

Lakini, licha ya kwamba tume ya uchaguzi ya Tanzania si huru [kwa sababu inaundwa na rais aliyeko madarakani na mpaka sasa wote wamekuwa ni wenyeviti wa CCM], mimi naamini kuwa uwepo si mwarobaini wa matatizo yetu ya chaguzi.

Kwa Tanzania bara, naamini kuwa hata ingekuwepo hiyo tume huru, CCM bado ingekuwa inashinda tu kwa sababu vyama vya upinzani havijielewi na ni dhaifu sana. Pia havina dira wala mwelekeo wowote ule. Mtu hujui hata vinasimamia nini.

Good post,ww ni genious kumbe kuna watu wanaona kama mm

NYANI ngabu kulike tu nimeona haitoshi


python mobile
 
Back
Top Bottom