Funzo kutoka Kenya: Katiba mpya au Tume huru sio suluhu ya uchaguzi wa Amani!

Funzo kutoka Kenya: Katiba mpya au Tume huru sio suluhu ya uchaguzi wa Amani!

Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Hata Marekani walimtangaza huyo walienae na kukiwa na malalamiko kwa upande wa pili. Katiba ni uamuzi wa mtu na si mwarobaini wa matatizo tuliyonayo. Sasa kwa mfano TZ mbona nchi inakwenda vyema kwa kutumia hiyo hiyo katiba watu wanasema mbovu? Hakuna haja ya katiba mpya nakuunga mkono. Tuwe tunachagua watu serious tu kama Pombe inatisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Ukuku tu hamna hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tangu siku ile prof kabudi alivyofafanua kuna nchi hazina sio tu katiba mpya bali hazina katiba kabisa na maisha yao yanakwenda mfano uingereza,israel,new zealand na Canada nilijufunza katiba sio mwarobaini wa matatizo ya mtanzania wakati wote.
Lkn halitakiwa kusema badala ya katiba zinajiendeshaje kama nchi! Kwa sababu kutakuwa na mfumo uliopo unaochukua nafasi ya katiba na ndio maana wanaendesha mambo yao vema zaidi ya nchi kama zetu zenye katiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tangu siku ile prof kabudi alivyofafanua kuna nchi hazina sio tu katiba mpya bali hazina katiba kabisa na maisha yao yanakwenda mfano uingereza,israel,new zealand na Canada nilijufunza katiba sio mwarobaini wa matatizo ya mtanzania wakati wote.
Nakuunga mkono kamanda. Katiba ni makaratasi tuu. Ingekuwa na umuhimu basi nchi tajiri ndio zingekuwa za kwanza kutekeleza.
 
Umeona maana ya kuwa na Tume mpya we mburula.
Hichi ki thread nimekitafuta sana
 
Umeona maana ya kuwa na Tume mpya we mburula.
Hichi ki thread nimekitafuta sana
Unadhani Uchaguzi utakaorudiwa hautakuwa na figisu?

Unaujua msimamo wa NASA kuhusu IEBC iliyovurunda kwenye uchaguzi?

Tusubiri tuone!
 
Sasa nimejua agenda ya CCM kutaka kuwaziba mikono mawakili na wanasheria chini ya Waziri wa sheria ni namna tu ya kujilinda na utekelezaji wa haki kwa wananchi. Pia kitendo cha kuhodhi Jaji mkuu kuteuliwa siku zote na Rais ni janja hiyohiyo, kuzinyima mahakama fedha ndo yaleyale. Kweli Africa viongozi wanalewa madaraka. Mungu atawaadhibu sana nyie
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Unamaana hata hii iliyopo( ya 1977) ifutwe tuishi bila katiba? Unadhani kama Kenya isingekuwa na katiba nzuri hali ingekuwaje? Kimsingi baada ya katiba nzuri kazi muhimu inayofuata ni kujenga taasisi muhimu za kitaifa kama mihimili mingine ya dola- Mahakama, Bunge na taasisi nyingine zinazotakiwa kusaidia uhuru wa kuwapata viongozi. Kazi haiishii kuwa na katiba nzuri. Katiba nzuri ni mwanzo mzuri na sahihi.
 
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.

Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya waliaminishwa kuwa majanga mengi yanayohusu uchaguzi,amani na hali ya ujumla ya uendeshaji wa Taifa hilo hayakwenda vyema kwa kuwa hakuna katiba nzuri inayoweza kusimamia hali ya mambo.

Pia kulikuwa na kilio kikubwa juu ya uhuru wa Tume ya uchaguzi ,kwa wanaokumbuka kuna mtu maarufu hapo Kenya ukiongelea Tume Huru ya Uchaguzi akiitwa Kivuitu..huyu alitangaza matokeo Ikulu na Rais Kibaki akaapishwa hapo hapo na baada ya hapo alikwea pipa kuelekea South Africa.Kipindi hiki Tume iliitwa sio huru na ikapelekea mfumo wa Tume unadilishwe kwa sababu hii na pia kwa sababu ya katiba mpya ya Kenya.

Kwa ufupi kilio hiki au imani potofu "myth" hii sio jambo la kipekee kwa nchi ya Kenya bali ni jambo au imani ya wanasiasa wengi barani Africa.

Kila uchao ni lazima usikie kilio cha Tume kutokuwa huru au katiba kuwa mbovu...

Haijawahi kuwekwa kiwango cha uhuru wa Tume duniani kote...yaani kwa wanasiasa kila wakishindwa lazima utalisikia hili neno.

Tukirejea hapa nchini kumekuwa na kilio cha namna hii kwa miongo kadhaa sasa kiasi cha kumfanya JK angalau kujaribu kuwaletea hilo jinamizi linaloitwa katiba mpya ingawa palitokea mkwamo kwa kuwa suala hilo lilipigiwa kelele na wanasiasa,kuratibiwa na wanasiasa na hatimaye kuharibiwa na wanasiasa.

Kipo kilio cha mara kwa mara cha kudai Tume huru ingawa hakuna ushahidi usio na Shaka juu ya Tume kukosa uhuru.

Nadhani kwa yanayoendelea Kenya ni wazi kuwa hakutawahi kutokee usalama katika uchaguzi hata kama Tume ya uchaguzi itakuwa chini ya malaika na Katiba ikawa kama kitabu cha msahafu au bibilia.

Kwa maoni yangu sioni haja ya kuendelea na mchakato wa katiba mpya uliokwama kwani ni upotevu wa fedha unaolenga kutafuta au kufikia matarajio yasio na mashiko.

Yaani Katiba mpya au Tume huru sio suluhisho la figisufigisu za uchaguzi...hizi zitakuwepo tu.


RIP MJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI KENYA.
Kuna haja ya kufikiri kwa mapana zaidi.Katiba mpya sio tatizo! inaweza ikawa mpya lakini mbaya kuliko ya zamani, inaweza ikawa mpya lakini dhaifu inaweza ikawa mpya isiyojitosheleza.Inahitajika katiba mpya na bora hicho ndio tunachopasa kujifunza toka huko ulikokutaja!
 
Kinachoendelea Kenya ni Raila kuchukua silaha
 
Back
Top Bottom