Funzo kwa baba wanaotelekeza watoto kwa mama zao

To yeye ila Usisahau mtoto anataka kila wakati mama akiwa kulia baba anakuwa kushoto. Ni uhanithi wetu wazazi kuwanyima huo uhondo kwa tamaa zetu!
 
To yeye ila Usisahau mtoto anataka kila wakati mama akiwa kulia baba anakuwa kushoto. Ni uhanithi wetu wazazi kuwanyima huo uhondo kwa tamaa zetu!
Ni kweli kabisa,kuharakia maisha ya ndoa kunatesa watoto sasa...but it's okay ni kanjia nako,acha wapitie
 
Yaani mwanaume akimpa mwanamke mimba sijui wanahionaje 😃😃 yaani wanajikuta maisha wameyamaliza aani sijui maana yake

but shortly they are BAD
 
kama wamefikia atua ya kula nauli chukua mtoto mapema hiyo familia ni sumbufu, dawa ni kuwanyang'anya huyo mtoto maana wanataka kumtumia kama fimbo kukuswaga wanavyotaka.

kwani ni kabila gani huyo binti,pia unaweza kwenda dawati wala usione aibu
Warangi kaka
 
Ni kweli kabisa,kuharakia maisha ya ndoa kunatesa watoto sasa...but it's okay ni kanjia nako,acha wapitie
Umezungumza jambo ambalo ni kiini cha mifarakano katika ndoa.

Kwa ulimwengu wa sasa, naamini mwanamke kuzaa au hata kuolewa bora awe amezidi 30! Na mwanaume awe amezidi 35.

Zama zetu binti kuolewa akiwa kigori ilikuwa lazima, hususan Bikra. Kwa vile dunia ya sasa Bikra si muhimu kivile, basi ni bora binti akaikung’utishe huko mpaka achoke! Na kijana azionje za aina zote ili wakioana hivyo viungo viwe vimeshiba, viwepo na umuhimu wa kuzaa tu.
 
Hakika hakika aisee
 
Daaa ilinikuta hii kuna wakat nilikua mtaan nikapata manz kumbe alikua ni polis depo mpya 2014 hyo


Nami lengo langu ilikua nijipange niingie depo jkt lakin wazo langu hakujua

Alinipenda sana japo niliish nae kwa muda .... ilipofika time nikapganisha kimya kimya anakuja kujua naenda jkt mi nishafanikisha nasubil kuondoka tuu

Hapo ndo picha linaanza kumbe tayar alikua mjamzito na mkataba mpka amalize miaka 3 kazin ndipo azae ....

Aliofia kunipoteza na mimba hakutaka kuitoa na kaz hatak kuipoteza......mnajua ilikuaje asee hii siku bado nina siku 3 niondoke kuelekea depo ndo ananiambia huku kilio na kuumwa juu

Nilimsii sana bas akakubal mi nikaenda jkt kujitolea ...huku nyuma kesi ikawa nzito kwa huruma akapelekwa vijijin huko...more.

Bas akajifungua kwa tabu huku mawasiliano afifu mim nae.....na umri wake mdogo ....ukiachwa ile kutengwa na jamii yake...alikonda sana ata huduma kwa mtoto naye zikawa afifu ..

Kuna kipind hakwenda kazin 5 month nakumbuka hakupewa likizo ya muda mrefu kwa ajir ya uzaz akasimamishwa kaz...

Kukata story mtoto alfarik kwa malaz haya yote yanatendeka kwao hawajui kwan alisomeshwa na ndugu lawama na kanisa hvo hakuwa na wakumuangukia

Kwetu wanakuja jua ni too late ..... R I P my son ....... nilipata lawama toka kwa familia nami najiukum mpka hii leo


Japo alilud kazin ...now day tumebak kama ndugu tuuuu🥲
 
Huu ujumbe subiri nimtumie rafiki yangu aliyetelekeza mtoto kwa kisingizio akiwa mkubwa atamtafuta baada ya kugombana na aliyezaa nae
Wewe ni binti mzuri, kamwe epuka kuwa na rafiki mpumbavu kama huyo!
 
Kataa ndoa a.k.a wapenda mtelezo, yaani hawataki majukumu ila mtelezo wanataka
 
Kwa mwanaume awe yote anaeshindwa/kataa ku-take responsibilities kwa mtoto/watoto wake kwa sababu yoyote ile...Huyo hastahili kuishi, anapaswa afe kifo kama afavyo kibaka.
 
Kumbe kuna watanzania wenzetu wana akili za maana kama wewe, sisemi akli za maana kwa kutelekeza mwanao ila kwa huu ujumbe unafundisha watu wengi kitu na inaonyesha na wewe jinsi ulivyokuwa kiakili. Kwa kweli majuto ni mjukuu. Mungu akubariki.
 
 
Rudisheni Mahusiano please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…